The Only Thing We Have to Fear is Fear itself

Nashukuru mh. Mbowe na wewe unapita humu.Mimi hoja yangu hapa nataka niongelee mambo mengine muhimu,na sio majina.Watu wanasababu mbalimbali kutumia majina bandia,maana wengine ni waajiriwa nk. Mimi concern yangu hasa ni Chadema,kwanza nianze kujitambulisha kama mpenzi mkubwa wa chadema na mkereketwa halisi,nadhani ukipitia comments zangu utajua hilo.Concern yangu kubwa ninaona kama chama kinadorora sana sasaivi.Hasa hili suala la toka Lowassa aingie chadema,imekuwa kana kwamba tumemuachia chama,yaani chama kinapata umaarufu kwasababu yake,yaani yeye ndio chama na chama ndio yeye,nikiri kuwa ninampenda sana lowassa,lakini linapokuja suala la yeye kuwa mkubwa kuliko chama,hilo nakataa.Hatuwezi kama chama kuwa chini ya mtu,umaarufu wa mtu.Inabidi ajue yeye ni kama mwanachama mwingine ndani ya chama,taasisi kwanza mtu mmoja mmoja baadae.Kwanza nimeshangaa juzi anawaambia wabunge na madiwani wasipo achieve watafukuzwa!Najua yupo sahihi,lakini yeye ni nani kuwaambia hivyo?Mi nafikiri ni muda sasa ajue kuwa hii ndo chadema bana,hata akitoka tutasonga kama kawa.Amuulize Dr Slaa. Jambo la pili,inakuwaje waziri mkuu Majaliwa anakataza shughuli za siasa,tena akikiuka sheria na katiba halafu mnanyamaza kimya?Hakuna hata kumfungulia kesi mahakamani kwa kukiuka sheria? Tunaenda wapi Chadema?!!
 
JF ya enzi hizo,kulikuwa na vichwa sio Jf ya sasa yakina Mmawia.
 
Endeleeni kuwambia viongozi wenu ukweli ndio wanabadilika.
 
Kuna masuali baadhi bado yanahitaji majibu humu.
 
SIHASA HIZI?
 
Rai yangu ni vizuri viongozi wote wa vyama wangejiunga humu ili waweze kujibu baadhi ya mambo wanapotuhumiwa, nadhani ni muhimu kina lipumba, mbowe, mbatia,kikwete na wengineo wakajiunga hapa jf!
Muwafahamu madhaifu yao?,wanapita kimya kimya maana humu ni moto wa kuotea mbali.
 
Mh Mbowe karibu saana ktk jukwaa hili,wengine mara nyingi tunapenda kusoma michango na mada mbalimbali za wanajukwaa,Nakupongeza kwa kujiunga humu karibu sana kinacho mata humu ni hoja ya mhusika mwenyewe na si jina lake
 
Raisi wa 32 wa marekani FDR kwa utafiti wangu ndie mwanasiasa aliyeutambulisha msemo huu maarufu fear fear itself kwenye ulimwengu wa siasa na tangia hapo umevuka boda na kusambaa kwenye tansia zote,mabara yote,nchi zote adi jana pale Protea Hotel mh Nape alipoendeleza kusambaza alichokisema FDR march 1933.What's fear?
According to cambridge english dictionary fear is an unpleasant emotion or thought that you have when you are frightened or worried by something dangerous, painful, or bad that is happening or might happen.Tangu awamu ya 5 ichukue hatamu wapinzani wamekuwa wakisisitiza kuwa kuna uoga/hofu ndani na nje ya serikali,Lissu,Msigwa,Lema,Zito, Mbowe kama vinara na Bashe kwa mbali.
Baada ya uvamizi wa CMG,wakemea uoga/hofu wamepaza sauti sana na Bashe sio kwa mbali tena na sio tena wanasiasa tu kwani adi Ruge wakati anahojiwa alikemea uoga na kusisitiza vijana wa TZ tusiwe waoga hasa katika kuhoji na kutetea haki zetu,jana emotional Nape kakemea uoga baada ya kutengulia uwaziri.
Najiluliza hivi hapa muoga ni nani? na ni uoga kweli au vijana hawako aware na kinachoendelea, sio kila mtu huku mtaani anayaona mambo kama wanasiasa wanavyoyaona na kuna wengine hawajui waanzie wapi,kwa nini wasitoe suluhisho badala ya kuhoji uoga/hofu iliyotanda kama ipo.
 
Bado natafakari maneno ya Nape-
"nchi haiwezi kuendeshwa na maamuzi ya watu wachache waliojufungia huko" (hawa watu ni akina nani?ni kweli sizonje hataki ushauri?je ni kweli siku ile ya movie walikuwa wote?wale askari wa kikosi maalum cha ulinzi alikabidhiwa na nani?)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…