The Only Thing We Have to Fear is Fear itself

Tulia lumumba, mmeshindwa kutushawishi sisi tusiowaelewa miaka yote humu jf unataka Mbowe arudi kufanya nini?

Hiyo kazi anayoifanya sasa hivi huko nje ndio muhimu zaidi mpaka mmemtafutia sababu ya kumfunga jela.
 
paka mmemtafutia sababu ya kumfunga jela.
Mimi nimekuwa mfunga watu tena...ha ha haaa! Huo ubavu nautoa wapi?
====
Mkuu kwa kuwa Mwenyekiti ( hii ni heshima kubwa) F.A.Mbowe upo karibu naye fanya namna aingie tena JF ili ashushe madini. Nadhani anaweza kuwa na access ya mtandao huko alipo maana hajahukumiwa hadhabu, nawaza!
 
I wish you all the best FAM umefanya kazi kubwa na yakutukuka .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…