THE OTTOMAN EMPIRE (moja ya tawala zilizowahi kuwa na nguvu kubwa duniani)

THE OTTOMAN EMPIRE (moja ya tawala zilizowahi kuwa na nguvu kubwa duniani)

Hii yako ipo shallow sana. Sana.... Ni kama mwanafunzi wa darasa la 3 anasimulia. Unaruka matukio huna mtiririko mzuri na unalipua lipua sana. Tulia tafsiri kwa utulivu hiyo kazi au tafuta material yaliyoshiba. Historia ya Ottoman Empire ni kubwa sana ndugu yangu.
 
yan ww ndo chenga kabsa sasa neno ottoman limetoka na nn!?? mm nakupa fact nenda kasom kitabu kinaitwa world history, na Global mosaic afu ndo utajua maana ake kama unabsha na ww lete fact bas afu nina mashaka na elimu yako
 
Hii yako ipo shallow sana. Sana.... Ni kama mwanafunzi wa darasa la 3 anasimulia. Unaruka matukio huna mtiririko mzuri na unalipua lipua sana. Tulia tafsiri kwa utulivu hiyo kazi au tafuta material yaliyoshiba. Historia ya Ottoman Empire ni kubwa sana ndugu yangu.
nikwel ndugu mm sjaiandika yot coz muda ila kama unavyosema n ndefu xanaaaa
 
uongo mwingi,kama hamjui historia fungeni madomo yenu,eti ottoman ni ukosefu wa kutamka,aibu gani hii?wakati hyo ottoman iliitwa hivyo na wazungu kama wanavyoziita nchi zetu wanavyotaka wao,fatimate empire nayo walikosea kutamka?mbona wewe mtoto unakuwa muongo sana?hebu soma historia halisi ya utawala huu uache kuongopa ongopa na kuchukua maneno ya mabwana zako wazungu,shubahmiiiit,mnsyuuuuuu.
yan we bablai n boya kikuku yan c uandke na ww upost yako afu unaongea tu lete fact cjui limekula maharage ya wap acha uboya chalii
 
Hii yako ipo shallow sana. Sana.... Ni kama mwanafunzi wa darasa la 3 anasimulia. Unaruka matukio huna mtiririko mzuri na unalipua lipua sana. Tulia tafsiri kwa utulivu hiyo kazi au tafuta material yaliyoshiba. Historia ya Ottoman Empire ni kubwa sana ndugu yangu.
yap nakubal
 
Leo imekuja tamthiliya yao inaonesha mahaba mengiiii... Hivi hawa jamaa na malavidavi wapi na wapi?
Kuna watu ni waharibifu sana wa historia..
 
Back
Top Bottom