WagirikiHibi wayunani ni akina nani wa sasa hivi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
WagirikiHibi wayunani ni akina nani wa sasa hivi?
nikwel ndugu mm sjaiandika yot coz muda ila kama unavyosema n ndefu xanaaaaHii yako ipo shallow sana. Sana.... Ni kama mwanafunzi wa darasa la 3 anasimulia. Unaruka matukio huna mtiririko mzuri na unalipua lipua sana. Tulia tafsiri kwa utulivu hiyo kazi au tafuta material yaliyoshiba. Historia ya Ottoman Empire ni kubwa sana ndugu yangu.
kwel arfuDetails hazitoshi..Ottoman ni dola yenye details nyingi ambozo nahisi unaziacha..lkn sio mbaya kwa hiki ufanyacho..unawafungulia watu waendelee kusoma zaid
ntauchimba muendelezo bro ngoj nwek mxhe zang xawNgoja Nikae hapa mbele mbele kusubiri mwendelezo
cjakurupuka chalii au kma vp andka na ww upoxt au upite hvUmekurupuka.
yan we bablai n boya kikuku yan c uandke na ww upost yako afu unaongea tu lete fact cjui limekula maharage ya wap acha uboya chaliiuongo mwingi,kama hamjui historia fungeni madomo yenu,eti ottoman ni ukosefu wa kutamka,aibu gani hii?wakati hyo ottoman iliitwa hivyo na wazungu kama wanavyoziita nchi zetu wanavyotaka wao,fatimate empire nayo walikosea kutamka?mbona wewe mtoto unakuwa muongo sana?hebu soma historia halisi ya utawala huu uache kuongopa ongopa na kuchukua maneno ya mabwana zako wazungu,shubahmiiiit,mnsyuuuuuu.
yap nakubalHii yako ipo shallow sana. Sana.... Ni kama mwanafunzi wa darasa la 3 anasimulia. Unaruka matukio huna mtiririko mzuri na unalipua lipua sana. Tulia tafsiri kwa utulivu hiyo kazi au tafuta material yaliyoshiba. Historia ya Ottoman Empire ni kubwa sana ndugu yangu.
poa manGood try ..
Usiwe mtu mjinga wa kiwango hichi. Andika historia ya ukweli.cjakurupuka chalii au kma vp andka na ww upoxt au upite hv
Kwani Ethiopia ilitawaliwa?Ethiopia pia alikuwa chini ya Ottoman
. Ni wa giriki waleoHibi wayunani ni akina nani wa sasa hivi?
Waturuki ...sio Wagiriki. Ni wa giriki waleo