Hizi fix sasa, mbona hukutuambia muda wote huo? Mzee wako kakudanganya yeye ni mlinzi tu kwenye shamba la hekari 10, ndio approach hiyo aliyotumia kumnasa bibi yenu sasa anatumia mpaka kwa wajukuu.2000 pekee? Unachekesha
My grandFa Ako na 3530acres ya tea Lari,kiambu county.
Bakresa farm in bagamoyo is 5000+ miwa, Philps family in dabaga is 5000+ (ngombe maziwa n shairi just to mention a few,huyo cha mtotoKuna watu huwa wamekuzwa kuwaita wananchi wa nchi flani kwamba ni wavivu sana lakini hawajui chakula kilichopo mezani kila siku nchini mwao kote zaidi ya 50% kinatoka kwenye mikono ya "wavivu"
Tuachane na mambo ya vyakula, sasa tupo kwenye infrastructures, kutana na muafrika billionaire mwenye shamba kubwa kuliko shamba lolote lililopo Africa.
Jidanganye, siku Kenya itaipita Tanzania kwenye sector ya kilimo ni siku Tanzania imeanza kulima mpunga huko MarsHawa majirani zetu wanafanya ukulima wa jembe, sasa wakisikia 2,000 acres wanaona wametisha kweli kweli. Narok County kuna mmaasai wa ukoo wa Purko analima ngano kwenye 5,600 acres. Alafu sio yeye tu, kuna wengine wengi sana kwenye gatuzi hilo moja.
Naelewa hata mkulazi ni zaidi ya 10000Bakresa farm in bagamoyo is 5000+ miwa, Philps family in dabaga is 5000+ (ngombe maziwa n shairi just to mention a few,huyo cha mtoto
Wachina wanapiga sana pesa sababu wanazo processing plants maana hata ile sawdust inakua processed Kutengeneza plywoods etc lakini Watanzania nao wanakuja juu sababu hiyo mitambo wanaanza kuimiliki mdogomdogoSleeping giant... Wachina wanapiga pesa ya kufuru
Chai na mbao mbali sana, chai na mahindi, kuna njaa lakin bado anapanda chaiChai na mbao ni ipi ina bei nzuri?mzee wako yuko vizur
This is the 21st century wake up from your slumberHapana hizi ni watermelons
Sasa chai nani halimi? Huwezi kufananisha chai inayolimwa na kila mtu kama mchicha na hii production ya electric poles, watch the video, the guy is producing more than 2000 units of poles per day in daily basis sababu shamba limepandwa kwa intervalsChai inalipaΓ by far
Ata miti kitambo ilikuwa sawa but nowadays haina soko,
Then again we live in different parts of the world ....good for you then with you ''infrastructures''Of course it's a 21st century you don't have an idea those are infrastructures
Hawajafikia maisha haya ya Watanzania kwenye ranchi za taifa, Tanzania ina ranchi nyingi za taifa ambazo zipo more productive na zina acres in terms of 100,000s countrysideZote. Wanaolima chai wana maisha mazuri sana
tuusan
Hapa Kenya such poles zilipitwa na wakati enzi za kibaki,Sasa chai nani halimi? Huwezi kufananisha chai inayolimwa na kila mtu kama mchicha na hii production ya electric poles, watch the video, the guy is producing more than 2000 units of poles per day in daily basis sababu shamba limepandwa kwa intervals
Sasa ninyi na machai yenu mna huo ubavu? And still the demand is higher and hardly even to satisfy by a halfway, chai uchafu gani?
Story ya Hay grass Nakuru na uasin ngishu county imejaaa sana,Hawajafikia maisha haya ya Watanzania kwenye ranchi za taifa, Tanzania ina ranchi nyingi za taifa ambazo zipo more productive na zina acres in terms of 100,000s countryside
View attachment 1170988
Mind you, ranchi hiyo hapo juu ipo kwenye the hottest Region of Tanzania. Wakati kwenu the hottest County watu wanakufa kwa njaa.
Am talking about this thing ππππHapa Kenya such poles zilipitwa na wakati enzi za kibaki,
Ata tea factories ambao walikuwa major customer nowadays wanatumia electricity Kwa Kila kitu,
Dunia inabadilika,bakini kuwa 20th century
Show us with proof. Jamaa kaweka mpaka link. Acha maneno maneno mkuu.2000 acres make it the biggest farm in Africa? [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Maybe the biggest in Mbeya.
Lack of exposure and a poor education system shows once again.
The number of plantations with thousands of acres in Kenya is beyond count.
Usikariri maisha, these are some of the products from that single ranch, mind you, we have more than 15 ranches countrywide na bei za mifugo ni nzuri piaStory ya Hay grass Nakuru na uasin ngishu county imejaaa sana,
Uzuri Kenya prices ziko juu na pia diary farming iko another level unlike down there unauza bei ya kutupa
Usikariri maisha, these are some of the products from that single ranch, mind you, we have more than 15 ranches countrywide na bei za mifugo ni nzuri pia
View attachment 1170999View attachment 1171000View attachment 1171001