Nilikamata mmoja nikapiga kwenye gari. Sasa hii ni one night stand auuuuu
KabisaSometimes ni upumbavu tuu
AseeeHebu tupieni hapa one night stand yako ambayo ilikiwa perfect ever na hutaisahau kamwe.
Yangu ni siku moja nilienda kwenye semina moshi. Ilikiwa ya wiki moja. Monday to friday. Sasa siku ya ijumaa jioni nimetoka semina naenda kuchukua funguo counter nika mkuta mdada mmoja na anaulizia vyumba.
Then akamuuliza yule counter kama kuna sehemu angepata chakula kizuri hapo jirani.
Nikadakia mazungumzo na kumweleza kuna sehemu nzuri ambayo mimi nimekuwa nikila.
Na kwamba kama hatojali basi tuongozane baada ya kama dakika 30.
Akasema poa ngoja aweke mizigo halafu aoge twende. Tuliishia kulala pamoja na tulipata fursa nzuri sana ya kupunguza genye zenu.
It was perfect.
I humbly submit.