The Power of Letting Go....

gfsonwin, yaani mie siwezi toa ushauri wa kupenda kabisa, nina akili ya kutengeneza hata parachuti au space shuttle.

Lakini mapenzini nina sifuri, sometimes akili inaona kabisa hapa unadanganywa ila moyo unasema tofauti.

Mara nyingi mahusiano ya aina hii lazima uumizwe tu.
 
Last edited by a moderator:
Duuh! Ila ww unaonekana boonge la heartbreaker!

Bishanga njoo nikupulize mwaya! Yesu anaweza hata P.O.P. ilipochemsha,lol
hebu usiniletee uchuro, nikupeleke wapi na sura kama panga la shaba??

Ushajizeekea hata kwa P.O.P husimami lol
 
he he he, ngoja Paw amuone na Bishanga anakuzengea ambanike na mwiko wa ugali.

Kubreak na kubreakiwa haviepukiki lol

namtafuta mateka simuoni siku hizi

Duuh! Ila ww unaonekana boonge la heartbreaker!

Bishanga njoo nikupulize mwaya! Yesu anaweza hata P.O.P. ilipochemsha,lol
 
Last edited by a moderator:

yaani sasa hapo umeonyesha wazi kuwa wewe wapenda kwa moyo na mara zote moyo ni mwongo but akili huwa inasema kweli. kama imeona unadanganywa why do you have to go for it?
 
yaani sasa hapo umeonyesha wazi kuwa wewe wapenda kwa moyo na mara zote moyo ni mwongo but akili huwa inasema kweli. kama imeona unadanganywa why do you have to go for it?

Hili ni jukwaa gani?
 

Kisukari thank you so much for sharing! Kumbe inawezekana eh?



Dah aksante sana kwa kushare. Nimesoma sehemu kuwa kwa mtu kukomaa kimapenzi kuna ile isemayo kuwa 'Until YOU let go YOU cannot grow " , kuwa "Great love can both take hold and let go". To let go with love you must, in essence, consciously love your partner.

Conscious love ni ile love ambayo si possessive, dependent wala conditional !! INGAWA, NASEMA INGAWA wataalamu wenyewe wanadai kuwa ni VERY rare kuipata kwa wanadamu (hapa hata sijui wanataka kusemaje yarabi).
 
ha ha ha, bwana eeh gfsonwin haya mambo haya wee acha tu

Sometimes risks zina adventure zake bana.

Kuna watu ujue wana ulimbo? Kama Bishanga vile
yaani sasa hapo umeonyesha wazi kuwa wewe wapenda kwa moyo na mara zote moyo ni mwongo but akili huwa inasema kweli. kama imeona unadanganywa why do you have to go for it?
 
Last edited by a moderator:

moyo ukipenda unaweza jikuta una-act stupid sometimes! Mambo ya mapenzi ni rahisi sana kuongea kuliko kutenda my dear..
 
hayana muda maalumu!

Pole Charminglady mwaya ninaelewa. Unajua hakuna kitu kibaya na kiumizacho kama kumwondoa moyoni sijui akilini mtu ambaye ulikuwa unatabasamu peke yako kila ukimkumbuka; mtu ambaye yaani kila kukicha unatamani uisikie sauti yake milele afu ndio unawaza kuwa ndo imefikia tamati!!

Pole mpenzi ila nafikiri kuna umuhimu wa kumwelewa gfsonwin kupenda kwa akili. Sidhani kama IKISHATOKEA ni kweli tunakuwa dhaifu kuikubali bali tunajivisha huo udhaifu aisee.
 
Ruta unataka kusema kuwa mahusiano yote yanayovunjikaga (ukiacha yale yanayovunjwa na external forces kama wazazi n.k) huvunjika kwa kuwa mmoja wao huwa hajapenda kweli??

ni kweli kabisa! Kwa sababu mkipendana kweli mapenz haya wez kuvunjika na yakivunjika lazima mmoja haumie!

Unaweza usione kama kuna mtu ame umia kwa sababu hakuna anaye chungulia roho ya mwenzio

na mahusiano yote yanaayo vunjika huacha mamuvi inaweza kuwa upande mmoja au pande zote.
 
....Nadhani sijakosea 🙂


 
Last edited by a moderator:
Power of let it go, inahitaji ujasiri mkubwa kwani ni moja ya maamuzi magumu ambayo hutuacha majeruhi. Ni pale utakapopata mtaalamu wa saikolojia wa kukushauri namna ya ku-deal na hiyo situation kwa sababu mara nyingi jambo la kuachana huku mnapendana linaambatana na mitihani mingi katika maisha.

Inawezekana baada ya kukabiliwa na mtihani ukajikuta kila unachokitegemea kinajaribiwa kiasi cha kujikuta huna pa kushika, hapo ndipo hata wale uliokuwa unawaamini sana na labda ulikuwahi kuwasaidia hapo nyuma wote wanakutenga na kukuacha usiamini kile kinachokutokea. Tunapokabiliwa na hali kama hii ndipo pale tunapojikuta tukikata tamaa na kumtafuta mchawi. hapo napo kuna hila nyingi, kuna wale wanaopata bahati na kumrudia Mungu, lakini kuna wale wanaogeukia kwenye ushirikina, hawa ndio mara nyingi wanaopata hasara mwisho wa siku na ndio maana nikasema ni vyema ili mtu amudu kukabiliana na hali hiyo atafute mshauri wa kisaikolojia ili aweze kumsaidia kukabiliana na hali hiyo.
 

Mmmmmhhhhh.....i wonder....
 
King,unakumbuka thread ya AshaDii ya ku brag?
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…