Newzealand360
Member
- Aug 10, 2022
- 88
- 122
Omg
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hongera sana mkuu!!Nilihitaji Sana this power of letting it quit.
Mke wa mtu nilihangaika san kumkwepa. Lkn it's a week now sijampigia Wala kimtext ni hatua kuu.
I will tell how I did
Nilimfumania mtu na huo ndio ukawa mwisho wangu na yeye. Alihama alikokuwa anaishi kwa aibu. Halafu akaenda kuwatukana wapangaji wenzake eti ndio walimchomea . Kumbe demu aliyekuwa naye ndio alinitumia messege kutumia simu yake kwamba karudi kutoka safari yupo home nije. Du kuna watu hawana utu kabisa. Toka siku hiyo akawa anapiga simu sikupokea ndio ikawa nitolee.Ukitaka kupata ujuzi wa kuacha......... fumania
KatungeKatungeeeeee[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]