The question of free will? Does free will exist?

The question of free will? Does free will exist?

vampire123

JF-Expert Member
Joined
Apr 17, 2016
Posts
1,310
Reaction score
865
Habari wakuu,
Hili swali mpaka leo sijajibiwa mpaka nimewauliza baadhi ya viongozi wa dini,naishiwa kuambiwa ninakufulu. Lets say God anajua kila kitu past, present and future inamaanisha God alijua malaika a.k.a shetani ataasi mbinguni, adam na hawa au eve watakula tunda la kujua mema na maovu, alijua USA atapiga bomu la nyulia pale japan hiroshima, alijua vita ya majimaji itatokea, yupi ataingia motoni na yupi ataingia peponi kabla hata hajaumba hao malaika, jua na giza and everything. Ni kama vile movie ambayo tayari umeshaiangalia then unaangalia tena maana hamna kitakachobadilika ataufanye nn.

Pia usisahau kuwa una asilimia 100% za kuingia motoni au peponi, lets say God exist, ww ni muislam means hujamkubali kristo as your savior plus hujabatizwa ww ni wa kutupwa katika ziwa la moto regardless umefanya mazuri kiasi gani and ww ni mkristo hujamkubali mtume muhammad (s.a.w) na Mungu wa waislam then ww ni wa motoni regardless umefanya mazuri kiasi gani...watu hujitetea kwa kusema kuwa utakuwa judged based on matendo yako wanasahau matendo yanahusisha ibada kwa asilimia 80% as kwa wakristo kuna kusali, kufunga nk na kwa waislam vile vile kuna kuswali,kufunga ramadhani n.k.

REMEMBER: Kuna mamilioni ya dini na mamilioni ya Miungu (Jehovah,Allah (s.w),Budha,Shiva,Vishnu n.k but dini yako na Mungu wako ndo wa kweli wengine wa uongo.
 

Attachments

  • photo_6028464342489483266_y.jpg
    photo_6028464342489483266_y.jpg
    83.1 KB · Views: 10
Habari wakuu,
Hili swali mpaka leo sijajibiwa mpaka nimewauliza baadhi ya viongozi wa dini,naishiwa kuambiwa ninakufulu. Lets say God anajua kila kitu past, present and future inamaanisha God alijua malaika a.k.a shetani ataasi mbinguni, adam na hawa au eve watakula tunda la kujua mema na maovu, alijua USA atapiga bomu la nyulia pale japan hiroshima, alijua vita ya majimaji itatokea, yupi ataingia motoni na yupi ataingia peponi kabla hata hajaumba hao malaika, jua na giza and everything. Ni kama vile movie ambayo tayari umeshaiangalia then unaangalia tena maana hamna kitakachobadilika ataufanye nn.

Pia usisahau kuwa una asilimia 100% za kuingia motoni au peponi, lets say God exist, ww ni muislam means hujamkubali kristo as your savior plus hujabatizwa ww ni wa kutupwa katika ziwa la moto regardless umefanya mazuri kiasi gani and ww ni mkristo hujamkubali mtume muhammad (s.a.w) na Mungu wa waislam then ww ni wa motoni regardless umefanya mazuri kiasi gani...watu hujitetea kwa kusema kuwa utakuwa judged based on matendo yako wanasahau matendo yanahusisha ibada kwa asilimia 80% as kwa wakristo kuna kusali, kufunga nk na kwa waislam vile vile kuna kuswali,kufunga ramadhani n.k.

REMEMBER: Kuna mamilioni ya dini na mamilioni ya Miungu (Jehovah,Allah (s.w),Budha,Shiva,Vishnu n.k but dini yako na Mungu wako ndo wa kweli wengine wa uongo.
Mkuu Mungu yupo kabisa lakini Mungu hana dini.

Ukifanya matendo mazuri basi ulimwengu utakulipa mambo mazuri.

Ukifanya matendo mabaya lakini kwako wewe ukaona Ni mazuri basi ni lazima ulimwengu ukuadhibu kwa ule ubaya sababu umedhulumu haki za wengine.

Haya Maisha ya hapa duniani tunajifunza tu lakini mbanga lenyewe lipo baada ya nafsi ikiacha mwili.

Huko Sasa ndio tutajua nyeusi na nyeupe kwenye ni Rangi au ni maji.
 
Mungu yupo kwa kigezo cha Uumbaji.

Ishi unavyotaka ila usiwe Mpumbavu na Usitende ubaya [Ubaya si lazima usome vitabu vya dini; ni yale Ambayo hata wewe usingependa kutendewa}

Dini ni Biashara kadiri unavyoifuatilia unaelekea kuichangia.
 
Free will doesn't exist at all, human beings are like children infront of God. God is ought to show the way to his children.
 
Hakuna kiumbe kinachoitwa Mungu ,huyo ni character wa kutengenezwa tu kunogesha Hadithi.
 
Free will doesn't exist at all, human beings are like children infront of God. God is ought to show the way to his children.
The problem of many people is the failure to understand that they're part of that God. They don't know that man is also God because he is the image and likeness of God. With that failure they either confuse or end up rejecting free will.
 
Ya
Habari wakuu,
Hili swali mpaka leo sijajibiwa mpaka nimewauliza baadhi ya viongozi wa dini,naishiwa kuambiwa ninakufulu. Lets say God anajua kila kitu past, present and future inamaanisha God alijua malaika a.k.a shetani ataasi mbinguni, adam na hawa au eve watakula tunda la kujua mema na maovu, alijua USA atapiga bomu la nyulia pale japan hiroshima, alijua vita ya majimaji itatokea, yupi ataingia motoni na yupi ataingia peponi kabla hata hajaumba hao malaika, jua na giza and everything. Ni kama vile movie ambayo tayari umeshaiangalia then unaangalia tena maana hamna kitakachobadilika ataufanye nn.

Pia usisahau kuwa una asilimia 100% za kuingia motoni au peponi, lets say God exist, ww ni muislam means hujamkubali kristo as your savior plus hujabatizwa ww ni wa kutupwa katika ziwa la moto regardless umefanya mazuri kiasi gani and ww ni mkristo hujamkubali mtume muhammad (s.a.w) na Mungu wa waislam then ww ni wa motoni regardless umefanya mazuri kiasi gani...watu hujitetea kwa kusema kuwa utakuwa judged based on matendo yako wanasahau matendo yanahusisha ibada kwa asilimia 80% as kwa wakristo kuna kusali, kufunga nk na kwa waislam vile vile kuna kuswali,kufunga ramadhani n.k.

REMEMBER: Kuna mamilioni ya dini na mamilioni ya Miungu (Jehovah,Allah (s.w),Budha,Shiva,Vishnu n.k but dini yako na Mungu wako ndo wa kweli wengine wa uongo.
Yaani maswali madogo kama haya ukakosa majibu 😁😁 kweli dini za kisasa zimepofuka.
 
God doesn't exist.

Free will doesn't exist.

Over.
Mkuu nakubaliana na wewe 100% kwamba God doesn’t exist

Ila hapo kwenye Free will natofautiana na wewe kimtazamo kwa muktadha wa mleta uzi

Free will ipo kwa maana ya kwamba mambo yote TUNAYOFANYA hayajapangwa na Mungu bali ni MAAMUZI YETU sisi binadamu

Unless niwe sijaelewa maana ya free will
 
The problem of many people is the failure to understand that they're part of that God. They don't know that man is also God because he is the image and likeness of God. With that failure they either confuse or end up rejecting free will.
Unaweza ukawa upo sahihi kwa maana ya kwamba Mungu tumemtengeneza sisi vichwani mwetu
 
Back
Top Bottom