The readings I read...vitabu nilivyosoma mwaka 2021

The readings I read...vitabu nilivyosoma mwaka 2021

Mkuu Tumaini Makene , kwanza hongera sana kusoma vitabu hivyo na karibu tena jukwaani maana uliadumika.

Kwa sababu wewe ni mtu mkubwa kule ulikokuwa na humu ni alwatan na mtu maarufu, unapobadili makazi, unatujulisha rasmi na sio tusikie kwa kusikia sikia, jee ni kweli umehama mtaa ule na sasa umehamia mtaani kwetu?.

Tunaisubiri kwa hamu "Die or Survive, Make or Break, Crash or Win; A Year That Was"
Sisi wengine ni ma kiritiki kwa lengo la kuboresha. The Title is too long. Kwanza ondoa "a year that was", twende na "Die or Survive, Crash or Win"

My take ni hicho kitabu ni kizuri na kitauza sana kwasababu usiange amua ulicho amua, kule unge die but now you survive, kule hata ungepanda vipi, mwisho wa siku unge crash tuu, ila huku sasa uta win!. Kitafute kitabu kiitwacho "The Winning Coalitions" ukicheza na timu za washindi una wini.
Ukilipitia bandiko langu hili
Sasa utakubaliana na mimi I was right.
Welcome to home sweet home.
P

Chief Pasco

Sina uhakika watu wangapi wanajua kuwa nikiwasiliana na wewe ni muhimu nitangulize neno ‘Chief’ as a respect to seniority in the profession.

Asante sana kwa ukaribisho kutoka kwako mwanabodi mzoefu na mwandamizi sana hapa. Ni kweli niliandimika kwa kuandika, lakini si kusoma. Napita sana sana hapa. Sana. Maana pana heshima yake ya pekee sana. Nami nimeitunza tangu kitambo.

Asante sana kwa hongera ulizonipatia, kwa yote.

Asante sana kwa ‘kritiki’. Ni jambo la fahari senior akikukosoa na kukushauri hapo hapo. I take the criticisms so humbly. It is a privilege. Na ningeshangaa kwa kweli. Siku moja nitasema namna ambavyo umewahi kuwa mmoja wa watu walio ni-inspire kitaaluma na kikazi.

I take the entire comment as compliment to energize me going through higher and higher.

Na mengine yote, yakiwemo ya ‘ucholonozi wa mada’, nimekuelewa vizuri. [emoji851]
 
Kweli Kaka Tumaina kitabu chako kinaonekana kinatisham Die or leave kina ushari ndani yake

Hapana! Hakina ushari. Kimetumia tu maneno haya haya tunayoyatumia kila siku, ila tu tutajitahidi kuyaweka kwa lugha ya kibeberu [emoji16]! Unless iwe tu kwamba ule msemo wa ‘the pen is mightier than…”
 
1.Kwanini wakatoliki hawakasiriki?
TITUS AMIGU

2.The monk who sold his Ferrari.
ROBIN SHARMA

3.Rape of the Pearl
MAGALA NYAGO

4.Long walk to Freedom
NELSON MANDELA

5.Think and grow rich
NAPOLEON HILL

6.Alfu Lela ulela[emoji1]
WAANDISHI WENGI

7.The 48 laws of power
ROBERT GREENE

8.The richest man in Babylon
GEORGE CLASON

9.BIBLE(Mwanzo-Ezra)....hii ni project hadi nimalize bible yote.

10.Siri ya kupata matokeo makubwa ndani ya mwaka mmoja.
JOEL NANAUKA,Hiki ndio kilikua cha kwanza

11.Matendo ya mitume 1
12.Matendo ya mitume 2
ELLEN G WHITE


Pamoja ni vingine kwenye taaluma yangu,nimejitahidi sababu ndio mwaka wa kwanza huu nilianza jisomea kwa malengo.

2022 nitajitahidi zaidi..
JPEG_20211230_223820_3577231891883321685.jpg
 
Back
Top Bottom