The real world is the spiritual realm

The real world is the spiritual realm

Tunachokiona sasa ni mwonekano wa Roho.

Sisi ni viumbe wa Roho kutoka kwa Mungu ambaye yuko katika umbo la mwanadamu.

Sisi ni ushahidi kwamba kuna Mungu na Ufalme ambao hatuwezi kuona.

Cha kusikitisha ni kwamba, kwa kila umri unaopita ubinadamu huzama zaidi katika kupenda mali, na kuwa na ufahamu mdogo wa asili yake ya kweli ya kiroho.

UCHAGUZI NI WETU.....
Asante sana mkuu, manaani akulinde dhidi ya majahili wa Dunia hii.
 
The so called spiritual world it's just imaginations and illusions.

Like imagining "We are Spirit beings from God that is in human form"

Can you come up with a proof to this assertion of yours without reasonable doubt?
 
hakuna uhusiano wa moja kwa moja kati kujua kingereza na kwenda shule. Kingereza ni lugha tu ambayo mtu yeyote anaweza akajifunza na akaielewa popote. Ni kama wewe unavyokijua Kiha. Tofauti ya Kiha na Kingereza ni kwa vile Kingereza ni lugha ya kimataifa
Mbona wanasema ukifika chuoni lazima ujue.
 
hakuna uhusiano wa moja kwa moja kati kujua kingereza na kwenda shule. Kingereza ni lugha tu ambayo mtu yeyote anaweza akajifunza na akaielewa popote. Ni kama wewe unavyokijua Kiha. Tofauti ya Kiha na Kingereza ni kwa vile Kingereza ni lugha ya kimataifa
Kwa nchi nyingine sawa, ila kwa Tanzania kuna uhusiano mkubwa sana, kiingereza chetu tunaanza kukipata shule mtaani hakipo.

Lakini cha shule nacho hakitoshi bado itahitaji jitihada binafsi kukijua zaidi na mtaani ni mwendo wa kiswahili na lugha za asili hapa ndo wengi tunafeli nikiwemo mimi
 
Together brother, but it's true that a difficult subject many people find difficult to understand
1 Corinthians 2:14
[14]But the natural, nonspiritual man does not accept or welcome or admit into his heart the gifts and teachings and revelations of the Spirit of God, for they are folly (meaningless nonsense) to him; and he is incapable of knowing them [of progressively recognizing, understanding, and becoming better acquainted with them] because they are spiritually discerned and estimated and appreciated.
 
The so called spiritual world it's just imaginations and illusions.

Like imagining "We are Spirit beings from God that is in human form"

Can you come up with a proof to this assertion of yours without reasonable doubt?
You are the one that believes in Illusions that spiritually doesn't exist.

And the proof is throughout history and across various cultures, spiritual beliefs and practices are widely present, suggesting an inherent human need or inclination towards spirituality.
 
Kwa nchi nyingine sawa, ila kwa Tanzania kuna uhusiano mkubwa sana, kiingereza chetu tunaanza kukipata shule mtaani hakipo.

Lakini cha shule nacho hakitoshi bado itahitaji jitihada binafsi kukijua zaidi na mtaani ni mwendo wa kiswahili na lugha za asili hapa ndo wengi tunafeli nikiwemo mimi
yeah, wanaojua kingereza ni wengi ila hawapendi kukiongea kwa sababu kuna notion kuwa ni lugha ya wasomi. kwamba nikiongea kingereza nitaonekana kuwa ninajiinua

wanaotusaidia kidogo kui boost hii lugha ni "baadhi ya walevi" 😂
 
yeah, wanaojua kingereza ni wengi ila hawapendi kukiongea kwa sababu kuna notion kuwa ni lugha ya wasomi. kwamba niliongea kingereza nitaonekana kuwa ninajiinua

wanatusaidia kidogo kui boost hii lugha ni "baadhi ya walevi" 😂
Mkuu kujua lugha mbalimbali pia ina onyesha uwezo wako wa akili , tuache kujitetea kizembe hivi😁
 
If you're going to speak on something, you need to have lived it and show others how to prove it for themselves, Otherwise, it's just preaching with no real backing.
I hoped that you might give me more spiritual instruction, but you are still adamant that I don't know anything about it. Tell me something I can learn
 
I hoped that you might give me more spiritual instruction, but you are still adamant that I don't know anything about it. Tell me something I can learn
Personally I’m telling you spirituality ain’t something that’s just there you gotta find it for yourself, not just go off what somebody told you, if it’s really real🤔🤔🤔
 
Personally I’m telling you spirituality ain’t something that’s just there you gotta find it for yourself, not just go off what somebody told you, if it’s really real🤔🤔🤔
I get that, perhaps there's something more you can tell
 
Back
Top Bottom