Kijogoodi
JF-Expert Member
- Mar 29, 2021
- 1,362
- 2,373
Msemaji mkuu wa Yanga bwana Haji Manara ameongea na waandishi wa habari na kuwahakikishia mashabiki kuwa Yanga itaibuka na ushindi mnono siku ya jumapili dhidi ya timu ya Rivers united kutoka nchini Nigeria kwenye mchezo wa ligi ya mabingwa Afrika.
Manara amesema wanaenda uwanjani wakiwa na slogan ya The return of champions(Mabingwa wamerudi) na kuwataka mashabiki kuanza kuimba slogan hiyo kama mbinu ya kuongeza hamasa kuelekea mchezo huo.
Manara pia amewataka mashabiki kupuuza habari za uzushi za kwamba Djuma, Aucho hawatacheza kwa sababu hawajalipiwa kwani zinalenga kuwatoa kwenye mchezo.
Manara amesema wanaenda uwanjani wakiwa na slogan ya The return of champions(Mabingwa wamerudi) na kuwataka mashabiki kuanza kuimba slogan hiyo kama mbinu ya kuongeza hamasa kuelekea mchezo huo.
Manara pia amewataka mashabiki kupuuza habari za uzushi za kwamba Djuma, Aucho hawatacheza kwa sababu hawajalipiwa kwani zinalenga kuwatoa kwenye mchezo.