OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Msukule baada ya press ulishwe unga,naona unadhoofu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kapumbu noma
DaahhMsukule baada ya press ulishwe unga,naona unadhoofu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]the return of mama j part 2
Hawatocheza game na Rivers jumapili ni kweliKwani wamesimamishwa kweli?
Mungu bariki RIVER UNITED wapate ushindi mzito zaidi ya ulivyopanga dhidi ya utopolo..Yanga 1- River United 3
Vi slogan wataweka ila kutufikia ?Yanga 1- River United 3
Kuliko kuiona yanga ikichezaRaha sana kumsikiliza Buggati
AmenMungu bariki RIVER UNITED wapate ushindi mzito zaidi ya ulivyopanga dhidi ya utopolo..
Amina
Slogan hazileti ushindi kama kiwango ni utopolo ni utopolo tuVi slogan wataweka ila kutufikia ?
Timu ya taifa ya Nigeria first 11 yote wanacheza timu za maana ulaya hadi wengine wanakaa benchi , je wachezaji wa ndani watapataje nafasi ? Timu ya taifa ya Nigeria usifananishe na taifa starsRivers United ni timu ndogo sana kwa Yanga. Timu haina hata mchezaji mmoja timu ya taifa
Yanga ushindi lazima
AmeenMungu bariki RIVER UNITED wapate ushindi mzito zaidi ya ulivyopanga dhidi ya utopolo..
Amina
Akikujibu niiteTimu ya taifa ya Nigeria first 11 yote wanacheza timu za maana ulaya hadi wengine wanakaa benchi , je wachezaji wa ndani watapataje nafasi ? Timu ya taifa ya Nigeria usifananishe na taifa stars
Harudi tena , timu ya taifa ya Nigeria wachezaji wote wanatoka vilabu bora na kubwa ulaya,hata hao Akwa wenyewe ambao ni mabingwa wachezaji timu ya taifa hawafiki 3 na wanasugua benchAkikujibu niite