Dogo janja ft pnc-Ya Moyon.
Chorus>>> Wala mi sina hila,
ila nafsi yangu yanituma.
kusema ya Moyoni.wala sina kisasi namshukuru Mola,
Huko niliko toka na sasa nilipofika..
mtanashati hasa,natiririsha ngoma,
Mtanashati hasa nakinukisha hasa..
Vina vya dogo janja>> kesi zangu naziacha Mungu atawasomea..
Jasho langu kwenye shamba lao walilifanya mbolea,
Hawakujali niliko tokea,
Shida zote kujibebea,
Wakanifunga akili huku miguu ikitembea,
Mama akasema mwanangu kaza msuli,
Ukitaka kuzikwa na watu vua koti la ukiburi,
Ila wewe jeuri kiburi,
Mimi sio mzuri pesa ndo kiburi,
kudai haki yangu kumejenga uadui,
Napenda madui zangu
Na ndugu zangu siwabagui,
www.hulkshare.com/83zavcmczjwg