The Return Of The Champions! Wamesharudi au Bado?

The Return Of The Champions! Wamesharudi au Bado?

G4rpolitics

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2015
Posts
4,369
Reaction score
5,248
Hahahaha, mmefurahi Simba kufungwa? Kwani alikuwa anawania nini hadi akafungwa, kulikuwa na Kombe, Hapana! Ahhaaaa! Kumbe alikuwa anatest tu kikosi, Yani kma mwana Simba lia lia Bora tungefungwa hata 5 lkn Yanga MARUFUKU tena kukodi ndege za ATCL kwenda kuiwakilisha nchi.

Halafu ikaja Visit Kilimanjaro and Zanzibar, Nimesahau kuna nyingine tena Jamani ulikuwa inasemaa! " Yanga Mmanipa Raha, Nilikuwa Wapi Mie Jamani!".

Sasa mi nauliza Champion wa nini, wa kukodisha ndege siku moja? Halafu hiyo visit Tanzania kavunjeni mkataba Kwanza, mnajisikiaje na hiyo Raha sasa? Mapovu ruksa!
 
Hahahaha, mmefurahi Simba kufungwa? Kwani alikuwa anawania nini hadi akafungwa, kulikuwa na Kombe, Hapana! Ahhaaaa! Kumbe alikuwa anatest tu kikosi, Yani kma mwana Simba lia lia Bora tungefungwa hata 5 lkn Yanga MARUFUKU tena kukodi ndege za ATCL kwenda kuiwakilisha nchi.

Halafu ikaja Visit Kilimanjaro and Zanzibar, Nimesahau kuna nyingine tena Jamani ulikuwa inasemaa! " Yanga Mmanipa Raha, Nilikuwa Wapi Mie Jamani!".

Sasa mi nauliza Champion wa nini, wa kukodisha ndege siku moja? Halafu hiyo visit Tanzania kavunjeni mkataba Kwanza, mnajisikiaje na hiyo Raha sasa? Mapovu ruksa!
Tunawakerrrrr
 
Hahahaha, mmefurahi Simba kufungwa? Kwani alikuwa anawania nini hadi akafungwa, kulikuwa na Kombe, Hapana! Ahhaaaa! Kumbe alikuwa anatest tu kikosi, Yani kma mwana Simba lia lia Bora tungefungwa hata 5 lkn Yanga MARUFUKU tena kukodi ndege za ATCL kwenda kuiwakilisha nchi.

Halafu ikaja Visit Kilimanjaro and Zanzibar, Nimesahau kuna nyingine tena Jamani ulikuwa inasemaa! " Yanga Mmanipa Raha, Nilikuwa Wapi Mie Jamani!".

Sasa mi nauliza Champion wa nini, wa kukodisha ndege siku moja? Halafu hiyo visit Tanzania kavunjeni mkataba Kwanza, mnajisikiaje na hiyo Raha sasa? Mapovu ruksa!
Tarehe 25/9/2021.Jumapili hiyo Tutajua Nani Ni Nani,Nani Ni wa hovyo hovyo wala Siyo mbali Bado siku 4 tu kwa Mkapa hapo
 
.
FB_IMG_1632203105676.jpg
 
Back
Top Bottom