SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Simba mnaona kiherehere chenu kuwatupia mbeleko hawa majununi lawama zote kwenu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
jumapili ya wapi,kanywe chai kwanza ndo urudi hapa.Utapata tabu sana,jumapili wanashinda na kuinua kwapa kwa Mara ya kwanza msimu wa 2021/2022.Jiandae kisaikolojia kupokea matokeo,andaa sababu za kujieleza manake utakuwa huna pa kujificha na Cha kujitetea
Tayari timu la hovyo lishajulikana haisubiri hiyo tarehe.Tarehe 25/9/2021.Jumapili hiyo Tutajua Nani Ni Nani,Nani Ni wa hovyo hovyo wala Siyo mbali Bado siku 4 tu kwa Mkapa hapo
Return of misukuleHahahaha, mmefurahi Simba kufungwa? Kwani alikuwa anawania nini hadi akafungwa, kulikuwa na Kombe, Hapana! Ahhaaaa! Kumbe alikuwa anatest tu kikosi, Yani kma mwana Simba lia lia Bora tungefungwa hata 5 lkn Yanga MARUFUKU tena kukodi ndege za ATCL kwenda kuiwakilisha nchi.
Halafu ikaja Visit Kilimanjaro and Zanzibar, Nimesahau kuna nyingine tena Jamani ulikuwa inasemaa! " Yanga Mmanipa Raha, Nilikuwa Wapi Mie Jamani!".
Sasa mi nauliza Champion wa nini, wa kukodisha ndege siku moja? Halafu hiyo visit Tanzania kavunjeni mkataba Kwanza, mnajisikiaje na hiyo Raha sasa? Mapovu ruksa!
Watu wamezoea kujilia tu iwe mcha iwe usiku Simba ataliwa vizuri.Kelele zote mwisho jumapili hakuna Cha ITC wala nn ni full mzikiTayari timu la hovyo lishajulikana haisubiri hiyo tarehe.
Sasa ndio watajua kuwa kufika robo fainali baada ya kuongoza kundi lenye bingwa wa Afrika siyo kazi ya kitoto!!Walijua ni kazi rahisi
Wanaume gani hao? Ni wale waliofanywa kitu mbaya na Ka-nani vile yue wa malawi?? Semeni wenyewe ni Ka------ msije kusema nimewatukana!!Kijana tabia za kufuatilia habari za wanaume utajikuta ushakuwa kuwa shoga
Pmja na hayo yote MARUFUKU kukodisha ndege na MARUFUKU visit K n Z kuna visi Tz Tu ambayo itakuwa inapepeaTarehe 25/9/2021.Jumapili hiyo Tutajua Nani Ni Nani,Nani Ni wa hovyo hovyo wala Siyo mbali Bado siku 4 tu kwa Mkapa hapo
Shoga mwingineWanaume gani hao? Ni wale waliofanywa kitu mbaya na Ka-nani vile yue wa malawi?? Semeni wenyewe ni Ka------ msije kusema nimewatukana!!