The Return Of The Champions! Wamesharudi au Bado?

The Return Of The Champions! Wamesharudi au Bado?

Simba mnaona kiherehere chenu kuwatupia mbeleko hawa majununi lawama zote kwenu
IMG-20210921-WA0001.jpg
 
Utapata tabu sana,jumapili wanashinda na kuinua kwapa kwa Mara ya kwanza msimu wa 2021/2022.Jiandae kisaikolojia kupokea matokeo,andaa sababu za kujieleza manake utakuwa huna pa kujificha na Cha kujitetea
jumapili ya wapi,kanywe chai kwanza ndo urudi hapa.
 
Hahahaha, mmefurahi Simba kufungwa? Kwani alikuwa anawania nini hadi akafungwa, kulikuwa na Kombe, Hapana! Ahhaaaa! Kumbe alikuwa anatest tu kikosi, Yani kma mwana Simba lia lia Bora tungefungwa hata 5 lkn Yanga MARUFUKU tena kukodi ndege za ATCL kwenda kuiwakilisha nchi.

Halafu ikaja Visit Kilimanjaro and Zanzibar, Nimesahau kuna nyingine tena Jamani ulikuwa inasemaa! " Yanga Mmanipa Raha, Nilikuwa Wapi Mie Jamani!".

Sasa mi nauliza Champion wa nini, wa kukodisha ndege siku moja? Halafu hiyo visit Tanzania kavunjeni mkataba Kwanza, mnajisikiaje na hiyo Raha sasa? Mapovu ruksa!
Return of misukule
 
tuwashauri wajiunge na ndondo cup ndio size yao! kama wapo serious kubeba kombe ila haya mengine wasahau kwa muda
 
Tarehe 25/9/2021.Jumapili hiyo Tutajua Nani Ni Nani,Nani Ni wa hovyo hovyo wala Siyo mbali Bado siku 4 tu kwa Mkapa hapo
Pmja na hayo yote MARUFUKU kukodisha ndege na MARUFUKU visit K n Z kuna visi Tz Tu ambayo itakuwa inapepea
 
Hiv manara yupo nchi gani siku hzi smsikii kabsa au ndo naelekea kuzeeka Kwanza ndo 26
 
Back
Top Bottom