nimependezwa " Sana na majibu yako" ijapokuwa " watu wana kuattact but unawajibu kwa hekima ".. ijapokuwa mwanzo ulikosea na umesahau ", kuomba radhi " but reply zako zimenifanya nikuone kuwa umekomaa kiakili", naninaichukuliA ile statement yako " uliyoitoa", kama sehemu ya udhaifu tu " ambao' kilA mmoja"" wetu huwa"" anaoNiwie radhi mkuu, ila suala la kunifukuza kwenye uzi sio sawa maana sisi wote wachangiaji hapa
Bet?kuna mama mmoja pale kariakoo anaingiza ml.200 ndani ya masaa Ma 3,.., huwa anaagiza contena 20 mpaka 30 za vitenge "" pale k.koo tu ana. miliki maghorofa ma 3 "' kila moja kalinunua kwa sh.billion 6.7
bila shaka "Bet?
Hii chai maharage au chai mihogo mkuu?kuna mama mmoja pale kariakoo anaingiza ml.200 ndani ya masaa Ma 3,.., huwa anaagiza contena 20 mpaka 30 za vitenge "" pale k.koo tu ana. miliki maghorofa ma 3 "' kila moja kalinunua kwa sh.billion 6.7
endelea kujifungia ndani hivyo hivyo " wenzako wanaingiza pesa Kama wamevurugwa ""Hii chai maharage au chai mihogo mkuu?
Ujuaji ukizidi unakuwa ujinga, huyo kakurupuka. Huenda hata hajui kinachoendelea hapa.Ahahahahaha..wewe jamaa ni 'mvamizi'.....tuliza akili usome vizuri ndipo utaelewa mwenye thread kaandika nini
Nami naomba uwe unaniad .. baracuda..Tayari chief... post # 145
Makara - makala
Xcuz me!!! etii?!!? Putin tajiri zaidi duniani!!? Aaahh umebugg mjomba
Sikia mjomba maisha yako yote mwanasiasa tajiri hawezi mzidi mfanyabiashara tajiri hata aibe vipi, achana na kitu inaitwa biashara, acha mchezo kabisa na iyo kitu, tena usilete utani ata kidogo
Cheki apa Bill gates anaingiza dolla za kimarekani 23,148 kwa dakika1 sawa na Tzsh Milioni 53, 240,400 hiyo ni kwa dakika mjomba lakini kwa siku anaingiza dolla za kimarekani Millioni 1,380,000 sawa na Tzshs Tillion 3,174,000,000 bajeti ya wizara hiyo mjomba
Dangote anaingiza Tzsh Million 11,600,000 kwa siku sawa na Million 350,000,000 kwa mwezi sasa unapokuja kutuletea porojo za watu kama akina kagame eti ni matajiri hahahahaa umekula maharage ya wapi mjomba
Achana na iyo mambo, kama unawaingiza chaka watu, waingize lakini kaa ukijua hapa Jf ni jukwaa la watu smart sana, usije ukaleta porojo zako ukadhani umewalisha matango yako, no way
Eti kagame tajiri africa,
Umebugg meeeen
Karibu sana... nafurahi kukuona hapa. Naheshimu mawazo yako.
Asante.
Na Mimi mkuuPamoja sana chief
[emoji23]Kimbakuli
Introduction tu hujaelewa.
Je story yenyewe ikija si utarusha mawe kabisa.
Tulia Kaka subiri kazi iletwe mezani,utoe maoni yako.
We jamaa jinga kweli yani ume quote thread nzimaI salute you