The Richest Man In Africa: Kila Utajiri una Ukafiri nyuma yake

Huyo ni mrefu mzee baba c ajabu ukikutana nae wewe utajiona ni bilikimo tu hapo..
 
hayo mambo ", huwa yanafanywa kisiasa mnooo", kuna watu " huwa wananunua" habari" I mean wanatoa" hongo iliwaweze kutangazwa kwenye hivyo vyombo husika " kwaajili ya sababu fulani za kimaslahi ya dunia" .. hata trump alishawahi kuongopa kuhusu thamani ya utajiri wake " ili aweze " kutolewa " kwenye jarida la Forbes " but sitaki" kuamini" kuwa Forbes hawakuhusika " ktka kuupika huo uwongo",wa trump"".. ijapokuwa trump nimtu tajiri sana lakini nae alidiriki ", kufake tAkwimu " ili ionekane kwamba nitajiri zaidi ya sana
 
Huyo ni mrefu mzee baba c ajabu ukikutana nae wewe utajiona ni bilikimo tu hapo..


Hata mm nimeenda hewani kinyama...maana kitanda cha futi sita urefu huwa inabidi nilale kimshazari kidogo maana nikilala kwa kunyooka niguu huwa inafika Mwisho Kabisa kabisa....anaweza kuwa mrefu kidogo kuliko Mimi ila siwezi kuonekana kama mbilikimo mbele yake mkuu Mkuu wangu. Ila daaah huyu binti wa Kagame....acha tu.
 
Nilikuwa nachangamsha uzi tu mkuu, ingawa naona uzi umepoa tena kwani saa10 haijafika maana ndo naamka
 
Kwa heshima na taadhima naomba kwa andiko lingine tuitane tafadhari.
All in all nafurahi kuwa miongoni mwa wanao kula chakula kitamu cha ubongo toka kwa gwiji la mapishi. Long live jamaa
 
Mnh mzee baba kwa huyu kichenchede utaishia kula kwenye TV na Internet kama hivi alivyopostiwa JF.
 
Pia naomba kujua kama PK ana uhusiano na JIWE... Tafwadhali mkuu... Alafu nilisikia anamiliki vitalu kule mererani.... Naomna maelezo pia kwa hili...
 
 
Mnh mzee baba kwa huyu kichenchede utaishia kula kwenye TV na Internet kama hivi alivyopostiwa JF.

We acha tu mzee baba...ndo maana nikamuomba Mungu anipe hela mingi kama Putin mkuu wangu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…