Pamoja sanaTayari chief... post # 145
Tayari chief... post # 145
naam ndio hivyo hivyo mkuu "" asante sansMkuu hearly nimekuelewa sana. Mi nadhani Forbes huwa wanaegemea sana katika Bank data na accounts, na kwamba baadhi ya watu wananunua kutwaja kwa maslahi yao kibiashara, mchezo ambao unafanyika sana duniani kwa sasa.