The Richest Man In Africa: Kila Utajiri una Ukafiri nyuma yake

Hakuna namna inabidi tuunge mkono juhudi za the bold, ungekua wewe ungeweza kuandaa maandiko yale na kuyaleta humu?
Nashangaa mkuu hakuna sehemu nimesema The bold muongo unajua tunapenda sana kusikia kuliko kutafakari, Binadamu huaribiwa sana na kusikia kile ambacho hakupashwa kukiskia,Kuona kile ambacho hakupaswa kuona na kutenda kile ambacho hakupaswa kutenda.Huwa nasoma kwa makini sana Mada za The bold nilianza kugundua kitu kupitia uzi ule wa Historia ya Forex sijui uliishia wapi? Sitakisema leo maana mpaka jamaa anatumia nguvu nyingi kukaa chini na kutafsiri maandiko mbalimbali amefanya kazi kubwa lakini tusisahau ili ufanikiwe wafanye watu wawe chini yako uwezavyo.
 
sehemu ya
nne Mni tag na mimimimi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…