The Richest Man In Africa: Kila Utajiri una Ukafiri nyuma yake

Asante the bold ngoja nisome sasa
 
Mkuu mleta mada unaona, ulinitag lakini tag sikuiona kwenye alert yangu. Nimechelewa sana kupata hii kitu.
 
Utete wa viwango vya kujiamini vya viongozi wetu unafanya hofu na woga kutamalaki kwenye jamii yetu kiasi kwamba hata wenye kujua kidogo tu hawakisemi na kuogopa kuifumbua macho jamii juu ya machache wajuayo.
Sankara alikuwa anajiamini, Sankara alikuwa ana ruhusu kufumbua macho jamii juu ya machache wayajuayo....Sankara hakuwa na hofu. Kwa maneno mengine, inahitajika balance ya hali ya juu kuishi ulimwengu wa tatu katika maisha uliyozungumzia. Waweza kuona viongozi ni waoga lakini sidhani kama ni waoga.

Yaani, toka unisaidie kuasisi msemo wa UONAVYO SIVYO....nimechunguza sana nikagundua uko sahihi, si kila linavyoonekana ndivyo lilivyo. Kwa suala suala uoga wa viongozi nami nadhani halipo, maana kwa uzoefu walioupata kwa viongozi wenzao waliowatangualia wengi wa viongozi , wa nchi za uchumi unaokuwa, wamegundua kuwaeleza wananchi kila kitu ili waruhusu tafakari mwanana si jambo zuri sana maana katika ulimwengu wa 'ukoloni mamboleo', raia wao wengi wanatumia vibaya uhuru huo huku wakichagizwa na wakoloni wa kizazi kipya.
====
Nimetoa hoja hii kabla ya kuanza kusoma epsodi zote za uzi huu. Sina hakika kama baada ya kuzisoma wazo jipya laweza kuja kichwani mwangu dhidi ya msimamo wa sasa juu ya jambo hili.
 
Mkuu nimeishia sehemu ya tatu, nataka kuanzia sehemu 4 mpaka sehemu ya saba inaendelea wapi?
 
Hawa wooote walisha kufa JF tengeneza list upya ya watu wapya. Au kuhama baada ya jiwe kuwafuatafuata, na wengine kutekwa na wasiojulikana.sababu ya hoja zao.
 
Some people bwana!!! sasa hapa tuelewe nini? makurasa meeengi nothing! no substance usiweke jina langu huko kwenye list bana.

watu wanasifia wala hakuna kitu, hapo nani tajiri? kabila au hao ID CO of Israel? mbona maskini tu wanahangaika hao!

Kwa maelezo yako kilichofanyika was struggling for the fittest.Sioni kipya cha kusisimua hapo. zaidi ya hadithi za Kabila profiles. hayo yapo hata kwa kuku tu. achilia mbali maisha ya Simba dume porini au ng'ombe wa zizini kwako. chukulia kuku tu km majogoo mawili umeyaweka ndani ya zizi moja lazima lingine litawaliwe.kwa timing au nguvu, ikibidi kifo!

Piga ni kupige ni maisha ya kawaida sana, chukulia makanisani tu, misikitini watu wanashindana kushika zaka. au kuswalisha. angalia hata maisha tu ya maskini wa uswahilini, km hapo manzese, kipawa nk, ukiwa na vijicent utaibiwa hata kukodiwa majambazi bila kujali ni ndg yako anafanya ivo.
Ili uishi sasa utafanyaje? wengine ndo maana wanakuwa wachawi, wababe, wambea.

Hata wewe umepata akili hii ya kuandika ni bibi yako mzaa Baba yako alikuwekea kifua dhidi ya watu wabaya yaani kijicho, bila ivo ungekuwa unavuna mihogo ya kuchemsha huko Musoma vijijini, hawa watu wabaya wasingependa ufike hapo ulipofika. kukaa nyuma ya key board! Sema tu wengine hukosea timing km mzee Kabila

Nothing new here please! ajabu watu wanakupa kichwa eeeh safi hawajayasoma haya yaliyomo,
you've wasted ma time meeen!.
 
Hayo unayoyasema sijui record za matajiri Duniani, wakimuonyesha Putin, hizo tunazijua sana kuwa ni propaganda za kimagharibi, si ndo silaha zao, kwani wewe unafikiri silaha mpaka iwe IBM tu

Hata maneno, habari, maandishi yeyote yale, km ya F/Book ni silaha kubwa na za hatari mno.zinaweza hata kuachanisha ndoa km hamjajipanga.
 
"Moja kati ya vitu vibaya zaidi na vya kukaraisha kuishi katika nchi za ulimwengu wa tatu si umasikini wake tu bali ni namna ambavyo tumejiwekea mifumo ya kudumaza uthubutu wa kuwaza na kujenga fikra mbadala."

Habib Hanga

Those words echo eternity. Slowly tutaanza kufunguka kama wengi tukijua maana ya maneno hayo.
 
Wa Africa hatujadumazwa kiakili tuko safi na makini sana. labda mtu.mmoja mmoja tu.
Angalia tulipo leo kimaendeleo na pale tulipo achwa na Wakoloni wasomi na matajiri.walitawala miaka 100.lkn hovyo tu .sisi leo miaka nusu ya utawala wao tunajitegemea na tumeongezeka maradufu. Watangulizi walitupa hiyo elimu tunayoona duni ili tuanzie hapo
 
Hahahaha kuna mtu kakuchomolea betri wewe sio bure....No one commanded you to take time for this...No one wasted your time.
If you think it is nonsense get over it and start dealing with your own bizeee...
UNGEKUWA KARIBU YANGU NINGEKUWEKA KIBAO MPAKA UKANYA TIKITI...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…