The Richest Man In Africa: Kila Utajiri una Ukafiri nyuma yake

yani mkuu nishaweka na alarm kabisa
 
Andiko halijaja, kwani hapo juu hujapata picha ya anachotaka kukisema The Bold!! Kama hujui kusoma tazama hata picha mzee
 
We jamaa ni kichwa mbaya kabisa!
Anyway sijawahi kuwa boring na stori zako abadan,
Hutamani nikiwa nasoma nisifike mwisho kwa uroda wake
 
Mkuu una uhakika na hii takwimu? 350m kwa mwezi mbona ni ndogo sana kwa Dangote?
Yah nadhani hiyo data ya Dangote haiko sawa nadhani monthly revenue yake ni Billion 3.5
Shida ya matajiri wa africa data zao haziko wazi sana kama za wenzetu
 
Mwanangu acha utani yaani dangote na utajiri wake wote aingize mil 350 kwa mwezi? Mbona pesa ndogo sana hiyo kwa tajiri kama yule?
 
Akili Kama Hauna utulie.. mtu Tajiri Duniani sio unaemjua wewe.. sio Billgate wala Jefd Bezos.. Mtu Tajiri ni Mwanasiasa Raisi wa Urusi VLADMIR PUTIN
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…