The Richest Man In Africa: Kila Utajiri una Ukafiri nyuma yake

So sorry comrade...

Added to taglist.

Shukrani sana
 
Part 2 lini mkuu, kupitia hii simulizi nahisi tutang'amua mawili matatu kuhusu uhusiano wa Jiwe na Slim.
 
Sehemu ya pili ni add mkuu@Habib Hanga
 
Mmmhhh""
 
Mwanangu acha utani yaani dangote na utajiri wake wote aingize mil 350 kwa mwezi? Mbona pesa ndogo sana hiyo kwa tajiri kama yule?
mmh " ml. 350 per month kwa dangote " wakati manji alikuw anatumia ml .100, kuihudumia yanga tu kila mwezi " mwambie huyo jamaa aache " masihara aiSeeee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…