Habibu B. Anga
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 6,557
- 25,717
- Thread starter
- #121
Done chiefMzee baba ukirud unitag
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Done chiefMzee baba ukirud unitag
Nimefanya hivyo chiefMkuu ni add pia
Tayari chiefMimi Pia
Nimefanya hivyo kamaradi ArchitectusMkuu THEBOLD usisahau ID Architectus kwenye Thread zako[emoji120][emoji120]
The bold nitag pls.Nimefanya hivyo chief
Bila shaka chiefMkuu ukitupia hiyo nondo usinisahau
Niwie radhi kamaradi... nitatoa taarifa karibuniHongera sana mkuu tunasubiri kwa hamu. Nilibahatika kuchukua namba yako kwa ajili ya kupata vitabu vyako na nina kumbuka ulisisitiza ni whatsapp lakini haukunijibu text zangu mpaka nilipokata tamaa.
Tunapenda kazi zako na tunahitaji kukusapoti lakini jaribu kuonyesha ushirikiano pia.
Done chiefAdd me please on your tag
shemuDone chief
Shukrani sana mkuu kwa ushauri huuYaani kwa hii trela wewe ni next level, Nikuombe ujaribu kuangalia sanaa ya filamu Tanzania nahisi inabidi watu wenye kichwa kama chako wazamie huko, kwani kuna utajiri umejificha kule afu wale mambumbu hawajui pakuanzia, Tengeneza timu na mfumo wako tofauti kabisa na uliopo naimani iko fursa pana kule kwa watu wenye uwezo mkubwa kama wewe Habibu B. Anga. Marvel studio imetuletea mtu anaye paa. Naamini kila kitu kina anza kama abstract na ww umebarikiwa hilo kwa kadirio ya nionavyo maandiko yako.
Done chiefMkuu,naomba uni-tag kwenye kazi zako!