Utingo
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 10,266
- 8,085
Utingo,
Thank you.
you are wellcome!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utingo,
Thank you.
Hi wana JF,
kwa mtazamo huu wa upinzani kuparaganyika, yaani upinzani ndani ya upinzani,
Chadema wana chance kama ya NCCR mageuzi (rise1995 - fall2010), i think wasipoangalia, it will be a matter of time. Verry bad! thanks
Hi wana JF,
kwa mtazamo huu wa upinzani kuparaganyika, yaani upinzani ndani ya upinzani,
Chadema wana chance kama ya NCCR mageuzi (rise1995 - fall2010), i think wasipoangalia, it will be a matter of time. Verry bad! thanks
Hi wana JF,
kwa mtazamo huu wa upinzani kuparaganyika, yaani upinzani ndani ya upinzani,
Chadema wana chance kama ya NCCR mageuzi (rise1995 - fall2010), i think wasipoangalia, it will be a matter of time. Verry bad! thanks
Hi wana JF,
kwa mtazamo huu wa upinzani kuparaganyika, yaani upinzani ndani ya upinzani,
Chadema wana chance kama ya NCCR mageuzi (rise1995 - fall2010), i think wasipoangalia, it will be a matter of time. Verry bad! thanks
Hi wana JF,
kwa mtazamo huu wa upinzani kuparaganyika, yaani upinzani ndani ya upinzani,
Chadema wana chance kama ya NCCR mageuzi (rise1995 - fall2010), i think wasipoangalia, it will be a matter of time. Verry bad! thanks
Kwani wewe ujuwi kuwa Chadema ni waroho wa madaraka na udini, ukanda na ukabila umewatawala.
even shikh yahya said the same
Kwani wewe ujuwi kuwa Chadema ni waroho wa madaraka na udini, ukanda na ukabila umewatawala.
Chama cha Chadema sio makini ila kuna baadhi ndani ya hicho chama ni watu makini mmoja wao aliepata kuwa mwanachama ni kafulila wengine wakijakutambua kama Chadema kina agenda zake na wanaharakisha zitimie na mfano kilichotokea Dodoma utaona watamwaga manyanga na nina uhakika NCCR Mageuzi itarudi kwenye form na kuipiku Chadema 2015 hii itachangiwa na ubinafsi wa chama cha chadema.
kafulila ana umakini gani kaa chini uwaze uwazue unapukuwa mnafiki na ndumila kuwili ndio umakini huo tamaa zake za madaraka ndio umakini chadema wakati kafulila akiwa afisa uhusiano chadema ililega kaondoka chama kikaimarika bila yeye acheni kukurupuka fanyeni tathmini za kina ndo uchangie mada.
haka kajamaa ni kasengeeeeeeeeeeeeeerema au mzaaharamu???
tumesimama wima wewe cc sio waigizaji..
na kwenye jf umeingiaje na maneno yako ya shombo????
Bila Zitto Kabwe (CHADEMA) huyo kafulila na wabunge wote wa NCCR wanaotoka mkoa wa Kigoma wasingekuwa mjengoni leo. And they have let him down. wamechagua kufeli moja kwa moja. si ushabiki but it is the fact. Bila kuwa pamoja/upande wa Zitto Kabwe wewe si mpinzani wa kweli kwa kigoma. and that is the fact in kigoma townships.
Zitto ni hero wa upinzani kigoma, baada ya kaburu kuharibika akili na kurudi ccm aliyoitukana sana enzi za mwalimu na kupelekea kuikimbia nchi kuhofia maisha yake, watu wa kigoma walikata tamaa kuhusu upinzani but the boy zitto managed to revive the spirit. Kitendo cha hao nccr kutokuwa upande wa zitto will cost them big time.
Chama cha Chadema sio makini ila kuna baadhi ndani ya hicho chama ni watu makini mmoja wao aliepata kuwa mwanachama ni kafulila wengine wakijakutambua kama Chadema kina agenda zake na wanaharakisha zitimie na mfano kilichotokea Dodoma utaona watamwaga manyanga na nina uhakika NCCR Mageuzi itarudi kwenye form na kuipiku Chadema 2015 hii itachangiwa na ubinafsi wa chama cha chadema.
Chama cha Chadema sio makini ila kuna baadhi ndani ya hicho chama ni watu makini mmoja wao aliepata kuwa mwanachama ni kafulila wengine wakijakutambua kama Chadema kina agenda zake na wanaharakisha zitimie na mfano kilichotokea Dodoma utaona watamwaga manyanga na nina uhakika NCCR Mageuzi itarudi kwenye form na kuipiku Chadema 2015 hii itachangiwa na ubinafsi wa chama cha chadema.