Sasa hivi tutaletewa kila aina ya ushahidi na documents ambazo zina lengo la kuonesha utawala wa Gaddafi ni mbya, ulikumbatia West na US..
Basi documents zipatikane nyumbani kwa ofisa wa ubalozi wa UK, au ofisi za usalama,ujasusi wa Libya, kwenye dust bins, kwenye dumping sites....lengo hapa ni nini?
Demonisation na public opinion shaping....hili usilisahau.
Kitu ambacho hakitafanyiwa kazi wala kutakiwa ushahidi ni kuwa US-NATO wameingia Libya kufanya Regime change kinyume na Azimio la "no fly zone".
Kwa bahati tumetekwa na propaganda ya NATO-US na sisi kujisahau na kuwapa wao open check au kuona wanayoyafanya ni sawa.
US-NATO wamekiuka mipaka ya Azimio lao( azimio la no fly zone) na operation protect civilians badala yake wameleta nakama Libya, wameunda humanitarian crisis ambayo haikuwepo, wameharibu na wanaendela kuharibu miundo mbinu, uwezo wa Libya kujitosheleza, kujitegemea, kujenga chuki za ukabila, ...kiufupi walilomtuhumu Gaddafi ndilo wanalolifanya....and we give them a pass na badala yake tunamlaumu Gaddafi na serikali yake.
Nchi zetu zikiwa kwenye chaos, US-NATO ndio faida yao, pale ambapo hakuna chaos basi huzianzisha kama ambavyo imetokea kwa Libya.
Miafrika tuamke! US-NATO wanatuchezea akili and we easily fall for their lies.
Basi documents zipatikane nyumbani kwa ofisa wa ubalozi wa UK, au ofisi za usalama,ujasusi wa Libya, kwenye dust bins, kwenye dumping sites....lengo hapa ni nini?
Demonisation na public opinion shaping....hili usilisahau.
Kitu ambacho hakitafanyiwa kazi wala kutakiwa ushahidi ni kuwa US-NATO wameingia Libya kufanya Regime change kinyume na Azimio la "no fly zone".
Kwa bahati tumetekwa na propaganda ya NATO-US na sisi kujisahau na kuwapa wao open check au kuona wanayoyafanya ni sawa.
US-NATO wamekiuka mipaka ya Azimio lao( azimio la no fly zone) na operation protect civilians badala yake wameleta nakama Libya, wameunda humanitarian crisis ambayo haikuwepo, wameharibu na wanaendela kuharibu miundo mbinu, uwezo wa Libya kujitosheleza, kujitegemea, kujenga chuki za ukabila, ...kiufupi walilomtuhumu Gaddafi ndilo wanalolifanya....and we give them a pass na badala yake tunamlaumu Gaddafi na serikali yake.
Nchi zetu zikiwa kwenye chaos, US-NATO ndio faida yao, pale ambapo hakuna chaos basi huzianzisha kama ambavyo imetokea kwa Libya.
Miafrika tuamke! US-NATO wanatuchezea akili and we easily fall for their lies.