The rise and fall of Colonel Muamar Gadaffi

"They (NTC) are trading with our blood -- they have luxurious cars and houses while we suffer,"

Libya's interim leaders came under increasing scrutiny on Wednesday from fighters who accuse them of not doing enough for combat-wounded troops dying of treatable injuries in the field and languishing in crowded hospitals.

Zaidi hapa Libyan leaders grapple with growing discontent among wounded | News by Country | Reuters

Hawa walifurahia msaada wa NATO kuzidondoshea mabomu hospitali za "Gaddafi", sasa yamekuwa haya?

Hivi hawakujua kuwa walikuwa wamedanganywa na NTC?

Watamkumbuka sana dikteta Gaddafi kwa kuwapa matibabu bure. Waridhike tu, sasa wamepata domokrasia, bana.

NTC wenyewe wanaogopa kivuli cha dikteta, hawajijui hawajitambui kulingana na habari alizotuletea Mkuu Askari Kanzu hapo juu, watapata wapi muda wa kuagizia madawa? NTC ndio kwanza wanaagiza silaha na mabomu zaidi kujilinda na wapiganaji 12,000 wa Gaddafi wanaokuja Libya kwa magari 68 yenye wapiganaji kwa uchache nane kwa kila gari.

Poleni sana ndio gharama za domokrasia hizo. Wengi wafe na wapatwe na majanga ,wachache wafanye biashara na shetani. Hapa utaelewa kauli ya kibibi kichawi ya kutaka Gaddafi auawe.
 
"They (NTC) are trading with our blood -- they have luxurious cars and houses while we suffer,"

Hawa wahuni wanalalamikia uhuni wa NTC lakini kumbe NTC tayari wameshawatayarishia maisha mazuri. Ona ulaji na ajira hizo watakazozipata.

Jibil also addressed concerns about a rise in revenge attacks and lawlessness as thousands of young men with weapons have found themselves unemployed after waging months of brutal fighting.

He said authorities were considering plans to give them the option of joining private security companies that will be given priority for securing the borders, oil fields and public institutions, or the national army.

Libyan PM: Gadhafi trying to recruit fighters

Lakini vita haijaisha, wakipoa wanaweza kurudi kwenye uwanja wa mapambano ili kuhakikisha freedom and domokrasi linakamilika.
 

Jibril is getting mad 68 times 8 is never 12, 000....amegundua kuwa hawezi kuendesha Libya sasa anatafuta vijisababu vya kuleta US/NATO boots on the ground....
 
Jibril (Mahmoud Jibril) is getting mad 68 times 8 is never 12, 000....amegundua kuwa hawezi kuendesha Libya sasa anatafuta vijisababu vya kuleta US/NATO boots on the ground....

Boldblue

Huyo siku zake zinahesabika subirini muone !!
 
Hawa ni Majuha unajua ulongo una mwisho wake sasa wanaropoka kila siku mara hili mara lile wanakwenda Bengazi na wale wakuda wao wa AL JAZEERA NA BBC wanapiga pich wanasema wako SIRTE..wajue tu hii nchi imeharibika na sasa mziki wake hawataumudu hata siku moja..
 
Wanadai kajeruhiwa miguu yote,ngoja nifuatilie zaidi.
 
Kwa mujibu wa Press Tv Gaddafi captured and injured in sirt.
 
[h=2]Libyan forces 'capture Gaddafi' [/h]From BBC

 
Hatimaye shughuli ya kumtia mikononi yule Rais wa maisha imefikia mwisho leo. Jamaa wanasema amevunjwa miguu yote miwili.Habari zaidi angalieni TV zenu
 
[h=1]Libyan forces 'capture Gaddafi'[/h]
Commanders for Libya's transitional authorities say they have captured former Libyan leader Col Muammar Gaddafi.
The news came after transitional forces claimed control of Sirte, Col Gaddafi's birthplace. There was no independent confirmation of his capture.
Col Gaddafi came to power in Libya in 1969. He was toppled in an uprising that began in February.
The International Criminal Court is seeking his arrest.
"He's captured. He's wounded in both legs," National Transitional Council (NTC) official Abdel Majid told Reuters news agency.
"He's been taken away by ambulance."
AFP news agency quoted another NTC official, Mohamed Leith, as saying that Col Gaddafi had been captured in Sirte and was "seriously wounded" but still breathing.
 
CNN wanasema hawajui for 100 percent sure,wanasubiri picha nk.Wanadai there were mistakes before.Hawa NTC hawaaminiki ndo maana wana sita kukubali moja kwa moja,walete picha.
Tv zinaonyesha wapambe wa waasi wakishangilia na kupiga honi,nadhani ni huko kwao benghazi.
 
Waziri wa Zamani wa Mambo ya nje wa Libya ameiambia Aljazeera Tv muda hu kwamba Quadafi amekamatwa baada ya Mji wa nyumbani kwake Sirte kutekwa na Waasi wakisaidiwa na NATO. Hata Tv Libya inatangaza vivyo hivyo.
Mwandishi James Bays kutoka Tripol anaripoti, "a high Profile Figure has been captured"
 

[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TD="class: articleTitle"][/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TD="class: articleTitle"][/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TD="class: articleTitle"][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: Tmp_hSpace10"][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]NTC fighter tells Al Jazeera toppled leader has been captured, but cannot say whether he is dead or alive.

[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TD]


[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TD]Last Modified: 20 Oct 2011 11:28

[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

[TABLE="width: 100%"]
[TR]
[TD="class: DetailedSummary"]Libyan TV is reporting that Muammar Gaddafi has been captured by NTC fighters in Sirte.
A NTC fielf leader told Al Jazeera that the toppled leader had been seized, but it was not clear whether he was dead or alive.
Gaddafi is captured and is wounded in both legs, Abdel Majid, an NTC official, told the Reuters news agency.
The news came shortly after NTC claimed capturing Sirte, Gaddafi's hometown, after weeks of fighting.
NATO said it cannot confirm the reports...


Gaddafi had not been seen since NTC fighters seized Tripoli, the Libyan capital,
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…