The rise and fall of Colonel Muamar Gadaffi

naona ha bbc lakini "cuptured" sasa sielewi kwa nini wameweka in quote, ngoja nifuatilie pia
 
information minister wao anadai wanataka Gaddafi ashitakiwe ndani ya Libya.Hii shughuli naona ndo kwanza inaanza.Lets wait and c what they gonna do with him,naamini bado ana karata zake valid in the game.
 

Ni kweli Mkuu hawa jamaa mara nyingi wameshatoa kauli ambazo baadaye ikathibitika kwamba hazikuwa na ukweli wowote, lakini kwa jinsi wanavyosherehekea mtaani kama ilivyokuwa inaonyeshwa na BBC dakika chache zilizopita inaonekana ni kweli. Tusubiri labda picha zitapatikana baada ya masaa machache.
 
Kwamuji wa Presstv Gaddaf alikuwa amejificha kenye shomo
 
duh! Watu hawana utani kabisa, yaani wameamua kumvunja na miguu.. Hilo ni funzo kwa viongozi wengine wa Africa.
 
dah, Hawa NATO walivyo wabaya kama wamemkamata kweli basi watamsadam haraka haraka
 
Reactions: BAK
WAASI WANADAI WAMEMKAMATA GADAFI- SOURE BBC. Commanders for Libya's transitional authorities say they have captured former Libyan leader Col Muammar Gaddafi. The news came after transitional forces claimed control of Sirte, Col Gaddafi's birthplace. There was no independent confirmation of his capture. Col Gaddafi came to power in Libya in 1969. He was toppled in an uprising that began in February. The International Criminal Court is seeking his arrest. "He's captured. He's wounded in both legs," National Transitional Council (NTC) official Abdel Majid told Reuters news agency. "He's been taken away by ambulance." AFP news agency quoted another NTC official, Mohamed Leith, as saying that Col Gaddafi had been captured in Sirte and was "seriously wounded" but still breathing.
 
Kama ni KWELI basi inadhihirisha Gadafi alivyo kichwa maji. Yaani pamoja na Sirte kushambuliwa namma ile aliuwa bado ana matumaini ya kushinda?? Anyway, labda alitamani sana kuchoropoka ila hakukuwa na jinsi
 
Hatimaye majeshi ya waasi na NaTO yamemkamata aliyekuwa rais wa Libya muda mfupi uliopita
 
Kwamuji wa Presstv Gaddaf alikuwa amejificha kenye shomo jamaa wakamuona wakataka kumshot jamaa akaanza kulia dont shot me please dont shot.
 
Muammar Gaddafi has been captured by revolutionary forces in Libya, it has been reported today. Gaddafi and his family have been on the run since Nato and rebel forces started closing the net on Tripoli in mid-August. The reports of Gaddafi's capture came on the same day that revolutionary forces said that they had taken control of Sirte - the leader's home town. Initial reports from CNN and the revolutionary council said Gaddafi was in custody, while Al Jazeera reported that a ‘big fish' had been caught but did not provide a name. Sky News reported that Gaddafi had been wounded in both legs prior to his capture.

(BREAKING NEWS: Gadaffi 'captured' as rebel forces take control of Sirte | Mail Online)
 
Madikiteta wengine kama akina JK wakae mkao wa kunyolewa
 
information minister wao anadai wanataka Gaddafi ashitakiwe ndani ya Libya.Hii shughuli naona ndo kwanza inaanza.Lets wait and c what they gonna do with him,naamini bado ana karata zake valid in the game.

Mkuu hii itakuwa ni danganya toto tu, Taifa kubwa limeshaamua Gaddafi akikamatwa afanywe nini. Kutakuwa na kesi ya kisanii sanii tu lakini hukumu yake tayari imeshaamuliwa zamani kwamba ni lazima anyongwe.
 
Namuombea wasimfanyi vibaya, maskini.
Wakimfanyia mbaya watakuwa wamechemsha sana.Watashindwa ku reconciliate wakifanya hivyo.

Kukamatwa kwa Gaddafi kwaweza kuwa ni jambo jema kwa Libya.

Maana si walikuwa wanawauwa raia kwa kudai wanawaprotect against him?

Him captured or not,does not constitute to absolute victory.

Only if its him and that he is alive!Huwezi kujuwa kama wanajiuliza manufaa yake akiwa hai vs akiwa dead.Pengine walipendelea apatikane akiwa mfu rather than akiwa hai!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…