The Rise and Fall of Marcio Maximo...Discuss.

The Rise and Fall of Marcio Maximo...Discuss.

na unazungumziaje kujituma kwa wachezaji wetu wakiwa mazoezini?ulevi,matumizi ya madawa ya kulevya(bange)?kitu gani kikifanyika kulikabili hili UTAFURAHI?

katika hili la kujituma naamini wanajituma na pia mbinu za kocha zinaweza kuwa sababu tosha ya wachezaji kujituma,

ulevi na bangi ni too personal kujadili ila siamini kama ina-madhara kwa mchezaji (stev gerrad wa liverpool na bendtner wa arsenal..ni walevi vibaya ila ndio engine za timu zao)

kingine ni kuwasaidia hawa vijana ki-elimu wawe na uelewa wao ni nani na wajifunze kuishi maisha ya -umaarafu wanaoupata na kuiheshimu soka kama ajira yao...thats it
 
katika hili la kujituma naamini wanajituma na pia mbinu za kocha zinaweza kuwa sababu tosha ya wachezaji kujituma,

ulevi na bangi ni too personal kujadili ila siamini kama ina-madhara kwa mchezaji (stev gerrad wa liverpool na bendtner wa arsenal..ni walevi vibaya ila ndio engine za timu zao)

kingine ni kuwasaidia hawa vijana ki-elimu wawe na uelewa wao ni nani na wajifunze kuishi maisha ya -umaarafu wanaoupata na kuiheshimu soka kama ajira yao...thats it
wewe inaonyesha maisha halisi ya wachezaji huyajui!tunakunywa nao bia wenzio pale kona bar(ambiance)!wanavuta sigara,pombe na wanawake masaa yote!vitu hivi kwa professional player ni mwiko!

huyo gerrard na bendtner wanaongoza kwa kujituma mazoezini,halafu wanakunywa wikiends tu baada ya mechi.POLE NDUGU!hata aje fagason hapa!
 
Unatakiwa utoe maoni ni kocha gani atatufaa baada ya Maximo.Hao kina Mziray hamna kitu
 
wewe inaonyesha maisha halisi ya wachezaji huyajui!tunakunywa nao bia wenzio pale kona bar(ambiance)!wanavuta sigara,pombe na wanawake masaa yote!vitu hivi kwa professional player ni mwiko!

huyo gerrard na bendtner wanaongoza kwa kujituma mazoezini,halafu wanakunywa wikiends tu baada ya mechi.POLE NDUGU!hata aje fagason hapa!
sikubaliani na wewe hapo kwenye nyekundu...kwani wewe unawafahamu wachezaji wangapi kwa mahesabu yako ya haraka haraka..
 
Huyo Maximo hana lolote... Ni mbabaishaji tu!

- Wababaishaji ni sisi wananchi na serikali yetu, simply huwezi panda mahindi ukavuna mihogo kama unataka kuendeleza mpira bongo, unakwenda kutafuta kocha wa kweli kama Mzee Carlos Arlberto dau lake US dollars $ 250,000 kwa mwezi kwa sababu hatuwezi basi ridhika na kina Maximo, ambao hata huko Brazil hawafahamiki waliwahi kuchezea wapi?

- Kila mbuzi hula kwa urefu wa kamba yake, kamba yetu bongo inaishia kina Maximo! na ufisadi tu!

Respect.


FMEs!
 
- Wababaishaji ni sisi wananchi na serikali yetu, simply huwezi panda mahindi ukavuna mihogo kama unataka kuendeleza mpira bongo, unakwenda kutafuta kocha wa kweli kama Mzee Carlos Arlberto dau lake US dollars $ 250,000 kwa mwezi kwa sababu hatuwezi basi ridhika na kina Maximo, ambao hata huko Brazil hawafahamiki waliwahi kuchezea wapi?

- Kila mbuzi hula kwa urefu wa kamba yake, kamba yetu bongo inaishia kina Maximo! na ufisadi tu!

Respect.

FMEs!
Bwa ha ha ha poor analysis mazee.....hujui soka kabisa......Maximo haku8ja tz kukuza vipaji kaja kufundisha proffessional footie ambao weshajua.....wewe na ri serikali lako mnakuza vipaji????

vichezaji vyenu vichwa nazi hata ufundisheje hawaelewi......sana sana mnalia lia ati kaseja kaseja.......wazee soka sio usimba na uyanga wenu....arrrrrrg
 
- Wababaishaji ni sisi wananchi na serikali yetu, simply huwezi panda mahindi ukavuna mihogo kama unataka kuendeleza mpira bongo, unakwenda kutafuta kocha wa kweli kama Mzee Carlos Arlberto dau lake US dollars $ 250,000 kwa mwezi kwa sababu hatuwezi basi ridhika na kina Maximo, ambao hata huko Brazil hawafahamiki waliwahi kuchezea wapi?

- Kila mbuzi hula kwa urefu wa kamba yake, kamba yetu bongo inaishia kina Maximo! na ufisadi tu!

Respect.


FMEs!

Bwa ha ha ha poor analysis mazee.....hujui soka kabisa......Maximo haku8ja tz kukuza vipaji kaja kufundisha proffessional footie ambao weshajua.....wewe na ri serikali lako mnakuza vipaji????

vichezaji vyenu vichwa nazi hata ufundisheje hawaelewi......sana sana mnalia lia ati kaseja kaseja.......wazee soka sio usimba na uyanga wenu....arrrrrrg

- Mkuu vipi mbona quotes hazifanani, wewe unaongea vipaji mimi ninaongea uwezo wa kocha? Hebu soma tena mkuu!

Respect.

FMEs!
 
- Mkuu vipi mbona quotes hazifanani, wewe unaongea vipaji mimi ninaongea uwezo wa kocha? Hebu soma tena mkuu!

Respect.

FMEs!
mwalimu mmoja afundishe wale jamaa milembe nma mwingine afundishe wale jamaa pale mlimani kisha wanafunzi wapewe exms......wa mlimani wapasue wa milembe waandike madudu.....utamlaumu mwalimu wa wanafunzi wa milembe?
 
mwalimu mmoja afundishe wale jamaa milembe nma mwingine afundishe wale jamaa pale mlimani kisha wanafunzi wapewe exms......wa mlimani wapasue wa milembe waandike madudu.....utamlaumu mwalimu wa wanafunzi wa milembe?

- Ni muhimu sana kujua qualifications za huyo mwalimu wa Mirembe in the first place na ni lazima awe amefuzu on dealing na the Mirembes!

- By the way, nini qualifications za Maximo? Aliwahi kufundisha wapi soka zaidi ya hapa bongo? Ukiweza kuwaleta bongo makocha wanaofahamika kwenye ulimwengu wa soka na bado soka letu likabaki limedumaa, basi ndipo utakuwa na case against wachezaji wetu, lakini hawa kina Maximo kutoka huko tarafani za vijijini huko Brazil ndio utegemee maajabu it doe not work that way mkuu katika soka!

Respect.


FMEs!
 
- Wababaishaji ni sisi wananchi na serikali yetu, simply huwezi panda mahindi ukavuna mihogo kama unataka kuendeleza mpira bongo, unakwenda kutafuta kocha wa kweli kama Mzee Carlos Arlberto dau lake US dollars $ 250,000 kwa mwezi kwa sababu hatuwezi basi ridhika na kina Maximo, ambao hata huko Brazil hawafahamiki waliwahi kuchezea wapi?

- Kila mbuzi hula kwa urefu wa kamba yake, kamba yetu bongo inaishia kina Maximo! na ufisadi tu!

Respect.

FMEs!

Bwa ha ha ha poor analysis mazee.....hujui soka kabisa......Maximo haku8ja tz kukuza vipaji kaja kufundisha proffessional footie ambao weshajua.....wewe na ri serikali lako mnakuza vipaji????

vichezaji vyenu vichwa nazi hata ufundisheje hawaelewi......sana sana mnalia lia ati kaseja kaseja.......wazee soka sio usimba na uyanga wenu....arrrrrrg

- Mkuu vipi mbona quotes hazifanani, wewe unaongea vipaji mimi ninaongea uwezo wa kocha? Hebu soma tena mkuu!

Respect.

FMEs!
Nimerudia kusoma hizo post mbili hapo juu kama mara kumi hivi nikitafuta ulipoandika habari ya vipaji sajaona na nafikiri sitaona milele daima. Umetaka ufafanuzi jamaa kaja tena na mfano wa ovyo ovyo kabisa hapo chini.

mwalimu mmoja afundishe wale jamaa milembe nma mwingine afundishe wale jamaa pale mlimani kisha wanafunzi wapewe exms......wa mlimani wapasue wa milembe waandike madudu.....utamlaumu mwalimu wa wanafunzi wa milembe?
Mfano kama huu ni matokea ya ndumu bila chakula.
 
Huyu bwana ni mtalii kiaina. Tatizo lipo kwa TFF, Anzia kale kasemaji kao, huyo laisi mwenyewe na yule katibu ni wababaishaji kabisa. wameshindwa hata kumshauri JK jinsi ya kutumia fursa hii vizuri. Wapo wazalendo wanaohitaji kujifunza ualimu wa soka kwa kutumia pesa hiyo ya JK. Nashauri wavunje mkataba na Masikio kisha wateue vijana waliohitimu kidato cha sita na kufaulu vizuri kisha watafute mwalimu wa kuwapa mafunzo ili watoke na degree kama kianzio cha kuelekea kupata ajira hata nje ya nchi. Wachina wanasema, "mwenye njaa ukimpa samaki umemlisha leo tu, ukimfundisha kuvua umemlisha kwa siku nyingi zaidi".
 
- Wababaishaji ni sisi wananchi na serikali yetu, simply huwezi panda mahindi ukavuna mihogo kama unataka kuendeleza mpira bongo, unakwenda kutafuta kocha wa kweli kama Mzee Carlos Arlberto dau lake US dollars $ 250,000 kwa mwezi kwa sababu hatuwezi basi ridhika na kina Maximo, ambao hata huko Brazil hawafahamiki waliwahi kuchezea wapi?

- Kila mbuzi hula kwa urefu wa kamba yake, kamba yetu bongo inaishia kina Maximo! na ufisadi tu!


Nimerudia kusoma hizo post mbili hapo juu kama mara kumi hivi nikitafuta ulipoandika habari ya vipaji sajaona na nafikiri sitaona milele daima. Umetaka ufafanuzi jamaa kaja tena na mfano wa ovyo ovyo kabisa hapo chini.


Mfano kama huu ni matokea ya ndumu bila chakula.


- Mkuu pole sana, ila kwa mtu yoyote aliyekwenda shule, hayo maneno kwenye quote yangu niliyowekea wekundu yanasimama on the behalf ya vipaji vya makocha wetu,

- Maana ya maneno yangu ni kwamba kama unataka kocha mwenye kipaji anayeweza kuendeleza kabumbu bongo, basi ni lazima ulipe hela nyingi kwa kuwatafuta kila Carlos Alberto "Perreira", ila kwa sababu Tanzania hela zako ni ndogo basi utaishia vipaji mbuzi vya kina Maximo ambao hawajulikani wametokea wapi na utaishia kushindwa kila siku huku ukilaumu kila mtu badala ya kujilaumu wenyewe yaani Tanzania!

Respect.


FMEs!
 
Swala ni mfumo wa mpira wote nchini, ambao haufai.leo mimi naweza nikaanzisha tim ya mtaani haitaichukua miaka miwili inaingia ligi kuu. hapo tu kuna walakini wa mfumo wa ligi zetu, inaletea kuwa ligi haina standard na quality.kwahiyo tim za ligi zinashindana kwa quality ndogo sana na ndo maana tunaboronga.

mfumo wa tim zetu unavyoendeshwa ni mmbovu sana,na tutaendelea kuboronga mpaka basi...
 
Swala ni mfumo wa mpira wote nchini, ambao haufai.leo mimi naweza nikaanzisha tim ya mtaani haitaichukua miaka miwili inaingia ligi kuu. hapo tu kuna walakini wa mfumo wa ligi zetu, inaletea kuwa ligi haina standard na quality.kwahiyo tim za ligi zinashindana kwa quality ndogo sana na ndo maana tunaboronga.

mfumo wa tim zetu unavyoendeshwa ni mmbovu sana,na tutaendelea kuboronga mpaka basi...
Nini kifanyike?
SOFA PAKA ya Kenya umeionaje?
Ni timu ya mtaani tu.
 
wABONGO KWELI TUNA MATATIZO YAANI TUNASUBIRI MKATABA WA MAXIMO UNAISHA NDIO TUNAULIZIA QUALIFICATION ZAKE, SIKU ZOTE TULIKUWA WAPI?
 
Tunapiga kelele Maximo aondoke. Lakini Je tunalijua tatizo letu katika soka? naomba pia tujadili hili

Tatizo la mpira kwa bongo ni Kocha wa Timu ya Taifa? [ambaye anawakusanya wachezaji wazuri anakaa nao kwa muda mfupi]
Tatizo ni mfumo wa mpira wetu? [hasa ufundishaji na uchezaji wa professional football]
Tatizo ni usimamizi wa mpira wa miguu? [wasimamizi wengi wahuni wanaojitajirisha kupitia kwa wachezaji wetu. wanawaacha wachezaji katika umasikini wa kutupwa]
nk
nk
Pia ni nini tunakitaraji baada ya Maximo?
nawasilisha
 
- Wababaishaji ni sisi wananchi na serikali yetu, simply huwezi panda mahindi ukavuna mihogo kama unataka kuendeleza mpira bongo, unakwenda kutafuta kocha wa kweli kama Mzee Carlos Arlberto dau lake US dollars $ 250,000 kwa mwezi kwa sababu hatuwezi basi ridhika na kina Maximo, ambao hata huko Brazil hawafahamiki waliwahi kuchezea wapi?

- Kila mbuzi hula kwa urefu wa kamba yake, kamba yetu bongo inaishia kina Maximo! na ufisadi tu!

Respect.

FMEs!

ni kweli Mkuu, hili suala wengi hatulifikirii.
hivi hao TFF wana uwezo wa kumlipa kocha mwenye CV nzuri? au tunafikiria kuwarudisha akina Mziray na Mkwasa na wanaishia kudhurumiana malipo na TFF?

TFF wameshindwa kusimamia hata uwanja mpya wa Taifa ambao ungewaingizia kipato kikubwa na kufanya mambo makubwa wameishia kujaza matumbo yao na ya polisi

TFF wameshindwa pia kusimamia mpira wa miguu, vilabu vinamigogoro isiyokwisha. mpira unaendesha kishabiki - usimba na uyanga

Matatizo mengi na makubwa tunayo wenyewe na si Maximo

Foreign coach ni muhimu kwa hizi nchi zetu, hasa katika kutia hamasa, kupambana na hawa wababaishaji TFF, na pia kusimamia nidhamu kwa wachezaji.
 
Namuonea huruma Maximo kufundisha watu wasiokuwa na pre-requiste ya mafunzo anayotoa. Tanzania hata kama tutaletewa makocha wawili walioandaa timu za taifa za Italy na Ujerumani wakati wa kombe la dunia 2006, bado tutabaki kuwa "mbuzi wa shughuli tu."

Wachezaji wetu wengi hawana ile discpline ya training; wanamfundishwa hiki, wao wanafanya kile. Kosa letu ni kuwa tunaokota wachezaji wetu wengi kutoka mitaani badala ya kuwachukua kutoka mashuleni wakiwa wamejengwa kuwa trainable. Utagundua kuwa wachezaji wetu wazuri wa zamani miaka ya sabini na themanini walitokana na michezo ya mashule ya sekondari na msingi; leo hii hakuna kitu cha namna hiyo tena labda kama kimeanza jana tu. Bila kuwa na foundation nzuri ya kupokea training, hapa hatutapa kitu kwenye timu yetu. Tukumbuke kuwa mpira ni teamwork; inawezekana kuwa kuna wachezaji wawili au hata watano ambao ni trainable na ni wazuri sana, lakini wakishachanganywa na kundi lile jingine basi timu yote inakuwa hivyo tena.

Nakubaliana na wewe kabisa mkuru, mimi bado sijaona hao wanaodai kocha maximo hana jipya katika lipi....ndio tangu afike nchini hatuwahi kuonja kombe lakini mbona mnasahau ile title tuliyopewa na Mzee ruksa "Tanzania ni kichwa cha Mwendawazimu" maana ilikuwa kila tukiingiza mguu tunapigwa goli.

Kwa kipindi alichokuwepo mdau huyu, nani asiyekubali kuwa sasa ni zaidi ya kichwa cha mwendawazimu? Timu yetu imejengeka na tuna uhakika au tumaini la ushindi hata tunapocheza na timu kubwa kama Ivory coast, pia tumeweza kushinda mechi hata za ugenini. SHIDA YENU NINI? KOMBE SIO? KWANZA TUWEKEZE KWENYE SOKA NDIPO TUREJEE KUJENGA LAWAMA. Si kwa maximo pekee ila tuanze mashule, kwenye klabu zetu kisha tumfikie MDAU.
 
Back
Top Bottom