The rise and fall of young Africans Sc

The rise and fall of young Africans Sc

Namungo wako vizuri kushinda ninyi.
Alafu yanga kuna mgomo wa wachezaji wa chini kwa chini.
Ila hamjui tu.
Tusubiri tuone Mtani. Mana hapo vichwani kwenu mechi mshaicheza na mpaka matokeo mnayo tayari. Lol
 
Mtaniii na Morison kajua kuwashughulisha.

Yaani kila mkiamka mnafuatilia kasema nini. Lol.
Mimi yanga siwapendi ila kama ni kweli morrison kwa kinywa chake kasema mkataba wake ni miezi 6 tu huku kuna viongozi huwa wanawadanganya kuwa alisaini miaka miwili,hao viongozi kuweni nao makini...morrison ni mchezaji mzuri sana yanga msifanye uzembe akaondoka
 
Viongozi wa YANGA ACHENI UTAPELI.
mnasema Morrison kasaini miaka 2.
Wakati mkataba wake unaisha MWEZI UJAO?.
Tena mlimpa miezi 6.
Ujanja ujanja utawapeleka wapi?View attachment 1487415
20200624_092726.jpg


Haya sio maneno ya Shadeeya.
 
Mimi yanga siwapendi ila kama ni kweli morrison kwa kinywa chake kasema mkataba wake ni miezi 6 tu huku kuna viongozi huwa wanawadanganya kuwa alisaini miaka miwili,hao viongozi kuweni nao makini...morrison ni mchezaji mzuri sana yanga msifanye uzembe akaondoka
Soma post #55 klabu imetoa ufafanuzi.
 
Back
Top Bottom