Van pebles
JF-Expert Member
- Oct 23, 2018
- 2,861
- 5,305
Mtani hebu Katabiri Mvua huko [emoji41][emoji41]
Leo hakuna mvua,ila kuna timu ya wananchi itafungwa magoli mawili[emoji16]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtani hebu Katabiri Mvua huko [emoji41][emoji41]
[emoji28][emoji28][emoji28] nina hasira ila hii post imefanya nimecheka. Lol.
05:15Hrs
Tusubiri tuone Mtani. Mana hapo vichwani kwenu mechi mshaicheza na mpaka matokeo mnayo tayari. Lol
Clubè Deportivo la MigogoroAah!! Wala usiwaite Mtani huu ni uzi ni kwa ajili yenu mpate kutudhihaki.
#MNYEROFC. 😎
Mimi yanga siwapendi ila kama ni kweli morrison kwa kinywa chake kasema mkataba wake ni miezi 6 tu huku kuna viongozi huwa wanawadanganya kuwa alisaini miaka miwili,hao viongozi kuweni nao makini...morrison ni mchezaji mzuri sana yanga msifanye uzembe akaondokaMtaniii na Morison kajua kuwashughulisha.
Yaani kila mkiamka mnafuatilia kasema nini. Lol.
Mtani cha ajabu mnatujua kuliko tunavyojijua lol.Namungo wako vizuri kushinda ninyi.
Alafu yanga kuna mgomo wa wachezaji wa chini kwa chini.
Ila hamjui tu.
😅Nitaweka alarm[emoji16]
Naitunza hii kauli kwa matumizi ya kesho Alfajir.Leo hakuna mvua,ila kuna timu ya wananchi itafungwa magoli mawili[emoji16]
Si ndio raha yenu Mtani.Clubè Deportivo la Migogoro
🐸🐸🐸
Naitunza hii kauli kwa matumizi ya kesho Alfajir.
Mkuu hawa leo wanapigwa na sijui safari hii itakuwa zamu ya nani.Na leo mnatoa DROO ili mpigane ngumi vizuri.
Kumbe.
Silijuwi hili Mtani. 🤔
Daah!! Ama kweli adui yako muombee njaa. 🤔Mkuu hawa leo wanapigwa na sijui safari hii itakuwa zamu ya nani.
Daah nimeingiwa na huruma sana kwa hii kauli yako.Si ndio raha yenu Mtani.
Naamini ni ya kupita tu haya Mtani.
Viongozi wa YANGA ACHENI UTAPELI.
mnasema Morrison kasaini miaka 2.
Wakati mkataba wake unaisha MWEZI UJAO?.
Tena mlimpa miezi 6.
Ujanja ujanja utawapeleka wapi?View attachment 1487415
Soma post #55 klabu imetoa ufafanuzi.Mimi yanga siwapendi ila kama ni kweli morrison kwa kinywa chake kasema mkataba wake ni miezi 6 tu huku kuna viongozi huwa wanawadanganya kuwa alisaini miaka miwili,hao viongozi kuweni nao makini...morrison ni mchezaji mzuri sana yanga msifanye uzembe akaondoka
Hahahaaa. LolEti inasemekena yule Yikpe na nani sijui eti ndo wamebaki ni Utopolo, huo ufafanuzi wa baada ya game na Azam
Huruma ya nini sasa Mtani wakati ni kweli yatapita haya. 😎Daah nimeingiwa na huruma sana kwa hii kauli yako.
Natamani mshinde leo ili upate faraja lakini ndio hivyo tena.😟
Mtani eee. Mi nadhani after this seson kwisha hapo ndo tutajua mwisho wa hizi sarakasi za huyu jamaa kwani kwa sasa naona maruwe ruwe tu.Kwa hyo MORRISON AKILI HANA?.
yani amesaini mkataba mpya lakini yeye mwenyewe HAJUI KAMA KASAINI?[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16].