The Rock

The Rock

BilioneaPATIGOO

JF-Expert Member
Joined
Jun 23, 2012
Posts
12,320
Reaction score
11,327
Kwa kila episode moja unayomuona The Rock, katika series ya "Ballers", anapokea malipo si chini ya Bilioni 1.6 Tsh.

Na kwa mwaka huu pekee hadi sasa anashikilia namba moja kwa waigizaji wanaolipwa fedha nyingi, sababu hadi sasa ameweka kibindoni Bilioni 205 Tsh.

#billionaire_thread!

IMG_20190924_120405.jpeg
 
Hata will smith alishapiga izi bingo
Kwa kila episode moja unayomuona The Rock, katika series ya "Ballers", anapokea malipo si chini ya Bilioni 1.6 Tsh.

Na kwa mwaka huu pekee hadi sasa anashikilia namba moja kwa waigizaji wanaolipwa fedha nyingi, sababu hadi sasa ameweka kibindoni Bilioni 205 Tsh.

#billionaire_thread!

View attachment 1214869
 
hata King Kiba naye anameki mkwanja mrefu kuzidi huo..

sema hatakagi kujionyesha na kuringa kama anavyofanya Rock au Diamond
 
hata King Kiba naye anameki mkwanja mrefu kuzidi huo..

sema hatakagi kujionyesha na kuringa kama anavyofanya Rock au Diamond
[emoji3][emoji3][emoji3] jamaa anatengeneza pesa ndefu sana sema hapendi show off.
 
He was one of the top earners if not the topmost of em all during his prime time with Vince's company...

Hata hivyo jamaa ni entertainer na athlete by nature tokea akiwa chalii...ashawahi pia kuwa mchezaji wa football(american)

CARRIER YA MEILEKA HAIKUMLIPA AKAJUA NAMNA YA KUJIONGEZZA
 
Back
Top Bottom