Unateswa na mwafrika mwenzako sasa huyo wa nje ndie atakuonea huruma? Grow up Man.Kuwachefua?Kwa hiyo unataka tuwahusudu.Over my dead body!Majitu yanatutesa usiku na mchana,na si wewe na mimi tu,hata ndugu zetu, halafu tuwahusudu!? Ovyooo.......!Hapo ulipo si ajabu una sukari au pressure, mkeo ana liuvimbe tumboni,watoto wako hawaeleweki,hofu imekujaa ya C-19 nk.nk.halafu unawachekea!Na wao kimsingi kwa njia moja au nyingine ndio walio sababisha.Kweli usilolijua ni usiku wa giza.
Pythagoras hujielewi kabisa nadhani and I believe you are part of the problem.Wewe naamini ni part of their "state capture system," so uko kwenye patrol yao.Hata hivyo nikuambie kitu,we are determined to win the war,no matter what.Unateswa na mwafrika mwenzako sasa huyo wa nje ndie atakuonea huruma? Grow up Man.
Pythagoras hujielewi kabisa nadhani and I believe you are part of the problem.Wewe naamini ni part of their "state capture system," so uko kwenye patrol yao.Hata hivyo nikuambie kitu,we are determined to win the war,no matter what.
Mabeberu ni wabayaaaa kuliko hata zarendo linalotandika watu risasi 36 mchana kweupee kama wanaua chatuHawafai hata kwa kulumangia mkuu.Mimi namshangaa sana mtu au nchi inayoji-identify nao in any way.
Mkuu hivi bado hujamjua Lissu mpaka leo?Mkuu tuko kwenye vita ya kiuchumi.Katika vita hii tunao maadui wengi wa ndani akiwemo Lissu,na wanje ambao ni mabeberu.Sasa naomba nikuulize swali,tuna-washuhuliaje maadui wa ndani?Mabeberu ni wabayaaaa kuliko hata zarendo linalotandika watu risasi 36 mchana kweupee kama wanaua chatu
Chief naomba link kwenye hiyo mada kuhusu vita dhidi ya familia ya asili, pls. Thanks
Chief naomba link kwenye hiyo mada kuhusu vita dhidi ya familia ya asili, pls. Thanks
Ndugu areafiftyone uko vizuri. Unajua kweli nyingi sana hasa za makundi haya ya kimataifa yenye lengo kubwa la kuitawala dunia kimwili na kiroho kwa utukufu wa mkuu wa dunia hii=ShetaniBubuji neno siri nilivyolitumia kwenye title ya bandiko langu lina a loose meaning ya kwamba watu wengi hawajui,may be even you!Si unajua most people believe the WB and IMF have the "noble" aim of bringing development to the World citizenry, kumbe the aim is completely the opposite.
Asante mkuu kwa ushauri,najaribu na nitajaribu,ila ni kazi ngumu mno.Ipo nguvu nyingi sana Shetañi anayotumia kupotosha,na kwa bahati mbaya mikakati yake ni ya millennia,kwa hiyo binadamu wameamini kwamba ndio ukweli wenyewe.Whatever you see or here in the mainstream media inahusiana na ujio wa Mpinga Kristo.C-19 yenyewe ni mikakati ya maandalizi ya ujio wa Mpinga Kristo!So there is so much to talk about,lakini nani anakuelewa,ni vichwa ngumu tu tunatumia.Ndugu areafiftyone uko vizuri. Unajua kweli nyingi sana hasa za makundi haya ya kimataifa yenye lengo kubwa la kuitawala dunia kimwili na kiroho kwa utukufu wa mkuu wa dunia hii=Shetani
Nakushauri utumie huu ufahahamu wako kuwafumbua watu macho hasa kiroho zaidi. Naaminisha maandalizi ya hao watumishi wa shetani kwa dunia nzima kumwabudu mpinga Kristo
Asante mkuu kwa ushauri,najaribu na nitajaribu,ila ni kazi ngumu mno.Ipo nguvu nyingi sana Shetañi anayotumia kupotosha,na kwa bahati mbaya mikakati yake ni ya millennia,kwa hiyo binadamu wameamini kwamba ndio ukweli wenyewe.Whatever you see or here in the mainstream media inahusiana na ujio wa Mpinga Kristo.C-19 yenyewe ni mikakati ya maandalizi ya ujio wa Mpinga Kristo!So there is so much to talk about,lakini nani anakuelewa,ni vichwa ngumu tu tunatumia.
So hutaki watu wajue kwamba IMF na World Bank ni matapeli, ili yeyote anaye-dili nao awe makini?Mimi naamini message hii ni muhimu sana hasa kwa wanasiasa wetu na watendaji wakuu wa serikali.logic inahitajika sana katika kuchakata na kuchambua mada hizi otherwise utajikuta unachangia kimihemko bila watu kukuelewa na bila wewe kuchangia mchango wenye tija