Nahisi kama aliambiwa kuwa ata nanilii ndio maana ilimbidi kufanya vile maana bila vile kile kipande hakikuwepo!, hata ile barabara kuu kupita Chato ni imechepushwa ilikuwa ipite Biharamulo!. Bajeti ya Uwanja wa ndege wa Chato, ilikuwa ni ile ya Omukanjunguti ikachepushwa!. Tanapa nao walikuwa wajenge a 5 star hotel sasa sijui, na uwanja wa mpira pia sijui!.
P