The Story Behind TAZARA Railway,

Mombasa Nairobi SGR is 485km n NOT 500km!
 
Kwahiyo unamuongelea Balozi wa China! Idiot!
 

Aisee, What is your point mkuu
 
Usichokijua ni kwamba sisi reli yetu tunaconnect mpaka zimbabwe huko sema sisi sio wasema hovyo na watu wakujisifia kama nyinyi.
Jifunze kuacha stori eti tuta sisi hivyo vitu vinafanya kazi tayari
 
Pole kijana ila reli yetu imeunganisha adi cape town south Africa, zimbambwe, zambia in short the whole of southen countries lakn hatupgi domo, sgr inaelekea burundi na rwanda then mayb tutaongeza baadae
 
Pole kijana ila reli yetu imeunganisha adi cape town south Africa, zimbambwe, zambia in short the whole of southen countries lakn hatupgi domo, sgr inaelekea burundi na rwanda then mayb tutaongeza baadae

Hehehe!! Hampigi kelele??? Duh! Ina maana siku mtapiga makelele mtatupasua maskio maana kwa hako kasafu ka Dar-Mor 200km mumepiga mayoye hadi kuzimu wamewaskia. Sisi leo hii Mombasa-Nairobi karibia mara tatu ya hako kasafu kenu tayari inatuingizia hela, na leo hii tumekamilisha Nrb-Navasha imesalia kuzindua tu, taratibu lazima tuunge Atlantic.
Nafikiri hii ramani itakupia picha fulani hivi kwa nini Kenya ilichaguliwa

 
Hahahha we jamaa we eti kimekunywa gongo , hiki c cha Ethiopia hiki!
 
Kwan nyie mmekamilisha lini na sis tumeanza lin kujenga? Mkitaka jengeni hadi ya kuzimu, Mbna una domo pana hvyo wew, mmeanza kuitumia kwasabab imekamilika, sis yetu tutaitumia mwakani na sio mpaka morogoro ni mpaka dodoma mana phase one and two zote zipo u/c tunapga vitu viwil mara moja, japo tutatumia ya moro kwanza then dodoma few months later.
 
ni vyema pia kama ungetufahamisha kwa mapana na marefu jinsi Mwalimu alitangatanga kwa wazungu kuzungusha kibakuli na hapo ndipo asili ya watanzania ya kuombaomba ilipoanzia. wazungu walipomkaushia, aligeuza na kuelekea China na ikumbukwe kuwa China wakati huo pia walikuwa masikini. basi Mwalimu aliwapigia magoti chini Mchina bila soni, bila haya na kunyorosha kibakuli.....

to cut the long story short, reli ilijengwa ila haijawai tengeneza faida yoyote na Mchina mlimzungusha na deni lake hadi akaamua kuwasamehe na kumuachia Mungu.
 
Hope hizo 500km za barabara ni kwa Dar tu.
 
Sasa kwenye hiyo picture ninyi Kenya inawahusu nini? Sababu naona tu shipping lines route tu kutoka Kolkata kwenda Athens via Mombasa, kwani huwa hamna shipping lines kwenye bandari yenu?
 
Kwenye SGR tuna special agreement na Yarpi, wakishamaliza Dar Moro tu lot lll mpa Isaka inatangazwa chap chap, mwaka kesho lazima lot lll ianze
 
Upo kidini zaidi ,we ni muongo, mnafki , mzushi
 

Looks like you Hate the Story behind TAZARA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…