The Story Behind TAZARA Railway,

Yes Mkuu, Tukijumlisha na za mikoani tutawachosha
Ni kweli sababu barabara nyingi za mikoani ni ndefu na zipo nyingi, Kigoma tu ina project za barabara tofauti zenye urefu wa zaidi ya kilometres 500
 
Hiyo inaanzia Ushirombo kuelekea Lusahunga mpaka border ya Rwanda wapo Strabag wanaikimbiza balaa sasa hv.Walikuwa wapo kipande cha Nyakanazi mpaka Lusahunga wakielekea border.Hapo Nyakanazi kuna mkeka mwingine unatandikwa kuelekea Kibondo ila kwa sasa wanamalizia 50KM mpaka Kabindo(Kakonko) kutoka Kabindo kuelekea kibondo,kasulu mpaka Manyovu wakandarasi wapo kwenye maandalizi kuna zaidi km300 zote zitakuwa Lami soon.
Kutoka Kasulu kwenda Kidawe Kigoma hiyo hiyo yupo mchina anamalizia lami na kashaingia Kasulu mjini ni balaa soon kote lami.
 
Udini uko wapi? Kasome tareekh mjomba . Za kuambiwa changNya na zako. In fact babu alikua na influence sana siasa za Tanganyika kuliko zanzibar. Soma soma
Kama hujui nyerere aliwategemea sana hawa wasomi wa Zanzibar kuendesha nchi.
Kina Salim Ahmed ni Matunda ya Umma party chini ya Babu kama hujui.
Ivonovsky da White
imejaa
 
Tazama Hiyo Video mama, Natumai utakuja siku ya Uzinduzi. Nitakulipia tiketi hadi Dodoma na tukanywe Mvinyo maeneo ya Chako ni Chako[emoji39]
mkija mnistue niwajoin
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…