Macho gani hayo yenye makengeza! Vimefungiwa jumla ya vyuo 19 vya kikenya viwili kati ya hivyo!Wanahabari wetu wako macho, jambo lolote likitokea kokote duniani na lina uhusiano na Kenya, watalijua mara moja , si kama wanahabari wenu manangojea hotuba za CCM itaje kitu alafu ndo waripoti kilicho tajwa
Yes it's a tweet with limited characters! Na ndio maana tunatumia fursa hii kuwaelewesha nyie wakenya mnaosoma hiyo tweet,!Can you pls right 140 characters mentioning jkua and ku being banned from admitting students in Tz.. And also mention the other unis and see if you can fit all that in complete sentences in 140 characters..
Most kenya news concentrate on the kenyan perspective.... The story is not even out yet, that is just a tweet with the highlight, if the story doesn't mention other universities then and only then can you begin to cry foul
Wewe ni zumbukuku kweli. Ukifukuza KQ utasafiri ulaya vipi? Tutawazuia kuja JKIA kwani lazima mje Kenya ndio msafiri kuelekea United Kingdom, China n.k. Itabidi muende Afrika Kusini Oliver Tambo Airport ndio mpate kuenda Guangzhou China kununua Mali ya kibiasharaI said it.
Soon , we are coming for KCB Bank and Kenya airways.
Till you respect us.
Wewe ni zumbukuku kweli. Ukifukuza KQ utasafiri ulaya vipi? Tutawazuia kuja JKIA kwani lazima mje Kenya ndio msafiri kuelekea United Kingdom, China n.k. Itabidi muende Afrika Kusini Oliver Tambo Airport ndio mpate kuenda Guangzhou China kununua Mali ya kibiashara
Hivi wewe unaongea nini? Unajitambua ?unauhakika kwamba watuwanaenda ulaya kutoka dar kwa kq peke yake?Wewe ni zumbukuku kweli. Ukifukuza KQ utasafiri ulaya vipi? Tutawazuia kuja JKIA kwani lazima mje Kenya ndio msafiri kuelekea United Kingdom, China n.k. Itabidi muende Afrika Kusini Oliver Tambo Airport ndio mpate kuenda Guangzhou China kununua Mali ya kibiashara
Nyie ni Nyumbu kweli aisee, elimu yanu ni ya hovyo ndio maana mnaanika upumbavu wenu bila aibu kama wewe hapa.Wewe ni zumbukuku kweli. Ukifukuza KQ utasafiri ulaya vipi? Tutawazuia kuja JKIA kwani lazima mje Kenya ndio msafiri kuelekea United Kingdom, China n.k. Itabidi muende Afrika Kusini Oliver Tambo Airport ndio mpate kuenda Guangzhou China kununua Mali ya kibiashara
Worry not my neighbors! Just comply to redeem your business
Simple! How about this "2 Kenyan University Colleges in TZ among 19 banned for irregularities!"?Can you pls right 140 characters mentioning jkua and ku being banned from admitting students in Tz..
Ethiopian Airways.Wewe ni zumbukuku kweli. Ukifukuza KQ utasafiri ulaya vipi? Tutawazuia kuja JKIA kwani lazima mje Kenya ndio msafiri kuelekea United Kingdom, China n.k. Itabidi muende Afrika Kusini Oliver Tambo Airport ndio mpate kuenda Guangzhou China kununua Mali ya kibiashara
FYI waTanzania wengi wakienda ulaya hawapiti hapo banda la kuku (JKIA), tuna options nyingi na cheaper than your broke-ass airline (Oman Air, Etihad, Emirates, Swiss e.t.c)Wewe ni zumbukuku kweli. Ukifukuza KQ utasafiri ulaya vipi? Tutawazuia kuja JKIA kwani lazima mje Kenya ndio msafiri kuelekea United Kingdom, China n.k. Itabidi muende Afrika Kusini Oliver Tambo Airport ndio mpate kuenda Guangzhou China kununua Mali ya kibiashara
Wewe ni zumbukuku kweli. Ukifukuza KQ utasafiri ulaya vipi? Tutawazuia kuja JKIA kwani lazima mje Kenya ndio msafiri kuelekea United Kingdom, China n.k. Itabidi muende Afrika Kusini Oliver Tambo Airport ndio mpate kuenda Guangzhou China kununua Mali ya kibiashara
Madhara ya kuvimbewa Githeri....Hii ni vita baridi ambayo T.Z inapigana na Kenya. Lakini tutaona ni nani atashinda. Hamuezi kushinda Kenya kwenye vita baridi
Njaa itakuwa inakusumbua weweWewe ni zumbukuku kweli. Ukifukuza KQ utasafiri ulaya vipi? Tutawazuia kuja JKIA kwani lazima mje Kenya ndio msafiri kuelekea United Kingdom, China n.k. Itabidi muende Afrika Kusini Oliver Tambo Airport ndio mpate kuenda Guangzhou China kununua Mali ya kibiashara