Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama mimi ningeshaoa dada lingine nzuri kupita hilo..nakuendelea na life..kadiri anavyo digest hayo maumivu ndivyo anavyokosea kupata solution.
achana naye oa mwingine endelea na maisha simple as that! ala!
Wazungu watu wabaya sana
Kwa hiyo mmeo aki-cheat kwa kutumia condomu we hautomaind?Bora mama huyu aanze mbele , mtu mbaka na kula uroda kwa a porn star tena bila condom , kuna umuhimu gani wa kuishi naye? kawaida mtu akiwa hatumii condom hatotumia tuu na kama alicheat ata cheat tuu ,sawa kabisa kwa mama kuachana na huyu jamaa kwa usalama wake na watoto wake.
Muhimumama achukue mkwanja wake wa nguvu amuache jamaa awe huru , kwanza inawezekana Tigger akaona yuko heaven kuachwa na mke maana kaoa mapema so atakua na time ya kula mbaka ma changu wa Ibiza na hakuna atakaye muuliza . nathani its good for them !
Wewe kizazi cha nguruwe ulishafika hata huko..kama humpendi kuitwa kizazi cha nguruwe si uache kumla..umelazimishwa aibu!Ukifanya hivyo, tofauti yako na NGURUWE itakuwa ipi?
Hata NJIWA wanakushinda. Kama wee ni KIPANGA, kwa nini unaowa? Ala....
Kwa hiyo mmeo aki-cheat kwa kutumia condomu we hautomaind?
Natamani ningekuwa mumeo!
What are you insinuating gentleman?!Wazungu watu wabaya sana
Kama mimi ningeshaoa dada lingine nzuri kupita hilo..nakuendelea na life..kadiri anavyo digest hayo maumivu ndivyo anavyokosea kupata solution. achana naye oa mwingine endelea na maisha simple as that! ala!
Sisi weusi mwanaume kutembea nje ni kitu cha kawaida bwana mbona Clinton naye alitembea nje na hakuna lolote lilofanyaka
Prosecutor akiwa Ken Star.Clinton alikuwa impeached. Kusema hakuna lolote lililofanyika ni ujinga.
Atakaye kosa maisha ni mkewe na sio Tiger nani alimjua huyo mkewe kabla hajaolewa na Tiger,Tiger ni maarufu kuliko huyo mswede ashukuru sasa anaula kwa jasho la Tiger,akiondoka yeye Tiger ataanza kubembea bana teh teh
http://www.independent.ie/topics/Tiger+Woods
Woods won 16m in tournaments during his last full season in 2007, along with an estimated 12m in appearance fees -- all of which he would lose out on if he takes a year off.
Ticket sales at tournaments he pulls out of are expected to fall by 25pc, meaning an annual loss of 27m to the PGA Tour.
The loss to the golfing industry as a whole from a year-long absence has been estimated at more than 342m.
- Nick Allen in Los Angeles
Source:irishindependent.ie
Hapana NduguBora mama huyu aanze mbele , mtu mbaka na kula uroda kwa a porn star tena bila condom , kuna umuhimu gani wa kuishi naye? kawaida mtu akiwa hatumii condom hatotumia tuu na kama alicheat ata cheat tuu ,sawa kabisa kwa mama kuachana na huyu jamaa kwa usalama wake na watoto wake.
Muhimumama achukue mkwanja wake wa nguvu amuache jamaa awe huru , kwanza inawezekana Tigger akaona yuko heaven kuachwa na mke maana kaoa mapema so atakua na time ya kula mbaka ma changu wa Ibiza na hakuna atakaye muuliza . nathani its good for them !
Kwa hiyo hao MAFIA ndio walimlazimisha Tiger Woods amcheat mkewe? Subirini mje msikie Obama naye anamcheat Michelle lol!!!Hapana Ndugu
Huu mchezo ni kama ule uliofanyika kwa Mike Tyson.
Unajua mtu kama Woods amekuwa akishinda michezo yake mingi.
HILI NI TATIZO KWENYE INDUSTRY YA KAMALI, wadau wanao-regulate huo mchezo i.e "MAFIA" lazima WA-INTERVINE kuhakikisha MCHEZO UNABALANCE.Lazima kuwepo na kushinda pamoja na kushindwa.
Hili suala la Woods ni zaidi ya KU-CHEAT,ukilitizama kwa haraka haraka utadhani ni tatizo la WEUSI au ma-superstar kulewa mafanikio,ITS MORE THAN THAT LADIES AND GENTLEMEN.
TUNAISHI KWENYE DUNIA AMBAYO WAPO "WENYE DUNIA YAO" NA WANA-REGULATE MAMBO YAENDE SAWA KAMA WATAKAVYO KWA MUJIBU WA TARATIBU ZAO.
MTANDAO WA MAFIA NI MPANA SANA,UPO KILA SEKTA UNAYOIJUA WEWE.