Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ni muvi nzuri sana haswa story yake ilivyoMovie nyingine ya karibuni yenye maudhui kama hayo niliyoipenda ni Greenland. Movie hizi hunifikirisha kama Nchi yetu, au waafrika tupo tayari kwa kupambana na extinction level events(kama hii Covid19), au ni watu tunaotegemea rehema A Mungu na wengine.
View attachment 1848028
Hutajutia bando wala muda wako, iko vizurinapendaga movie za gerard butler vibaya sana ntaitafta hio
Loud and Clear....Dispatch is on route downloading.....Yts.ars
Humo kwenye ndege akaonwa kashika dawa na jamaa mmoja akaulizwa za nini akajibu za mwanae ana sukari..jamaa akamwambia wao ndugu yao amekataliwa kuingia sababu ni mgonjwa iweje yeye aingie..Butler akachanganyikiwa kuanzia hapo..ndo kilichomuokoa kuwahi kushuka lengo akawatafute familia yake akijua imebaki..hatari hii movie. [emoji847]GREANLAND (2020)
John garrit(gerald Butler) alikuwa injinia wa majengo mkubwa sana katika nchi yao alienda na mwanae anaeumwa kisukar supermarket kuchukua mahitaj na vinywaj kwn ilikuwa birthday ya mwanae wakat yupo huko serikal ikamtumia sms amechaguliwa kwenda uko Greanland(sehemu maalum ilyojengwa na serikal kujikinga na maafa makubwa) yy na familia yake tu (mke na mtt) kwa sbab kuna mlipuko wa volcano unakaribia kutokea nafasi hzo wanapewa watu special sana kama injinia,madoctor wakubwa, nyumban mkew alikuwa kashaalika majiran kadhaa kusherekea birthday ya mtt wao Lakin pia ujumbe ultumwa Kwny tv yao lakn hawakuuona wote kabla alivyofika john akamwita mkew pembeni akanambia uo ujumbe akashangaa ghafla Kwny tv ujumbe ukafkia tena mpka majiran waliusoma ikabid fasta wakimbie makwao wakawasha tv Lakin wap hamna kitu bas familia ya John ikajiandaa ikabeba chakula na dawa za mtt za kisukar majiran wakataka waende nao jamaa akawakatalia hapana nmechaguliwa mwnyw tu daah mkew akammbembeleza bac tuchukue ata binti m1 wa jiran injinia akamwambia hatutofika nae ppot kwn ujumbe umewataka watu wa3 tu bac majiran wakamchukia sana jamaa ikabid wasepe wakt wanakaribia kufika walipo elekezwa Kwny kambi ya jesh Ili wapate patch/sticker maalum yny qr code special mtt wao anadondosha dawa zake bila wote kufaham bac wanafika karib na pale kulikuwa na folen kubwa ya magari ikabid washuke wapige ngoko wakafika kambin wakasema wao ni special chosen Wakapita wakapew sticker kila m1 ya kwke wakaingia ndan kidg wakawa wanakagua vitu wakastaajab dawa za dogo hazipo weeee ikabid mwanaume ajitoe akazifate Kwny gar wakat anaenda huku nyuma ndege inakuwa tayar kwa safar mkew akaambiwa mama twende ndan uondoke akasema cwez kwenda nasubir baba Chanja/nyongo mkalia in/wangu wa ubavu wa moyoni/alieniepusha na tabu za wanaume wa kinondoni[emoji16] ameenda kuchukua dawa za mtt tumezisahau Kwny gar akaulizwa mtt anaeumwa nn akasema diabetes ikawa kosa akaambiwa mama hatusafirishi mgonjwa akaomba sana Afande M1 akampeleka kwa mkuu wake akamuelezee kwenda kule akakataliwa akaambiwa haturuhusu kama vipi twende ww mtt umuache apa weeeee! Nan kasema nimuache mtt akakaa nae anamsubir mmew, Mmewe akarudi na dawa akapita frsh askari m1 akamwambia mkeo nmeona kama kaenda Kwny ndege bas injinia akaenda nae kufika kule akatafta sana mama Chanja wake hajamuona ikabid atulie tu Kwny ndege raia wakafos nao wapande ndege hatakama hawajachaguliwa kwenda mzozo ukazaa vurugu ndege ikalipuka lakn mwnAume injinia aliwah kutoka na aliwaambia watu washuke ndege italipuka baadhi walitii baadhi walikwenda na maji akaamin mkew kafa apo ndo utam ukaanza............ Mpka mwisho
Ewaaaaa! Nlisahau kidonyo ni bonge la muviHumo kwenye ndege akaonwa kashika dawa na jamaa mmoja akaulizwa za nini akajibu za mwanae ana sukari..jamaa akamwambia wao ndugu yao amekataliwa kuingia sababu ni mgonjwa iweje yeye aingie..Butler akachanganyikiwa kuanzia hapo..ndo kilichomuokoa kuwahi kushuka lengo akawatafute familia yake akijua imebaki..hatari hii movie. [emoji847]
Season 2 imetoka?GREANLAND (2020)
John garrit(gerald Butler) alikuwa injinia wa majengo mkubwa sana katika nchi yao alienda na mwanae anaeumwa kisukar supermarket kuchukua mahitaj na vinywaj kwn ilikuwa birthday ya mwanae wakat yupo huko serikal ikamtumia sms amechaguliwa kwenda uko Greanland(sehemu maalum ilyojengwa na serikal kujikinga na maafa makubwa) yy na familia yake tu (mke na mtt) kwa sbab kuna mlipuko wa volcano unakaribia kutokea nafasi hzo wanapewa watu special sana kama injinia,madoctor wakubwa, nyumban mkew alikuwa kashaalika majiran kadhaa kusherekea birthday ya mtt wao Lakin pia ujumbe ultumwa Kwny tv yao lakn hawakuuona wote kabla alivyofika john akamwita mkew pembeni akanambia uo ujumbe akashangaa ghafla Kwny tv ujumbe ukafkia tena mpka majiran waliusoma ikabid fasta wakimbie makwao wakawasha tv Lakin wap hamna kitu bas familia ya John ikajiandaa ikabeba chakula na dawa za mtt za kisukar majiran wakataka waende nao jamaa akawakatalia hapana nmechaguliwa mwnyw tu daah mkew akammbembeleza bac tuchukue ata binti m1 wa jiran injinia akamwambia hatutofika nae ppot kwn ujumbe umewataka watu wa3 tu bac majiran wakamchukia sana jamaa ikabid wasepe wakt wanakaribia kufika walipo elekezwa Kwny kambi ya jesh Ili wapate patch/sticker maalum yny qr code special mtt wao anadondosha dawa zake bila wote kufaham bac wanafika karib na pale kulikuwa na folen kubwa ya magari ikabid washuke wapige ngoko wakafika kambin wakasema wao ni special chosen Wakapita wakapew sticker kila m1 ya kwke wakaingia ndan kidg wakawa wanakagua vitu wakastaajab dawa za dogo hazipo weeee ikabid mwanaume ajitoe akazifate Kwny gar wakat anaenda huku nyuma ndege inakuwa tayar kwa safar mkew akaambiwa mama twende ndan uondoke akasema cwez kwenda nasubir baba Chanja/nyongo mkalia in/wangu wa ubavu wa moyoni/alieniepusha na tabu za wanaume wa kinondoni[emoji16] ameenda kuchukua dawa za mtt tumezisahau Kwny gar akaulizwa mtt anaeumwa nn akasema diabetes ikawa kosa akaambiwa mama hatusafirishi mgonjwa akaomba sana Afande M1 akampeleka kwa mkuu wake akamuelezee kwenda kule akakataliwa akaambiwa haturuhusu kama vipi twende ww mtt umuache apa weeeee! Nan kasema nimuache mtt akakaa nae anamsubir mmew, Mmewe akarudi na dawa akapita frsh askari m1 akamwambia mkeo nmeona kama kaenda Kwny ndege bas injinia akaenda nae kufika kule akatafta sana mama Chanja wake hajamuona ikabid atulie tu Kwny ndege raia wakafos nao wapande ndege hatakama hawajachaguliwa kwenda mzozo ukaanza aliambiwa na jamaa m1 hv aliemuona kashika dawa kuwa Mbn yy ndugu zake wanekataliwa kwenda wamebak Mbn yy kapanda ikabid ashuke kufata familia yake kule Napo mama alikata tamaa akamua kurud Kwny gar kumbe wamepshana apo utam ukaanza............ Mpka mwisho
Season 2 ya wap boss hyo ni singleSeason 2 imetoka?
time travelKutoka 2051 kuja 2022 alitumia usafiri gani.??
watchsomuchoya nahangaika nayo hapa kikass inazingua yts sisspati umedowloadia wapi ?
Fumbo Lilianza kufumbuliwa na mkewe kiutaniutani alipomwambia what if hao aliens walikuwepo kabla ya mwaka walioanza kuonekanaYule mwananfunzi wake mkali wa volcano ni shida yeye ndo alofumbua fumbo mpaka wao.kujua ndege ya allien ilianguka wapi [emoji1696][emoji1696][emoji1696]
Haikuwa volcano ilikuwa ni comet iliyomeguka na kuja kugongana na Dunia. Mi kuna wakati nakuwa emotional kwenye movies and this movie made me shade tears asee. It's a very good movie. Jana nimemaliza kuangalia Black Widow nayo Iko vizuri pamoja na kwamba huwa sipendi sana movies za Marvel's lakini hii nzuri haina ma CSI fiction na ma effects mengiGREANLAND (2020)
John garrit(gerald Butler) alikuwa injinia wa majengo mkubwa sana katika nchi yao alienda na mwanae anaeumwa kisukar supermarket kuchukua mahitaj na vinywaj kwn ilikuwa birthday ya mwanae wakat yupo huko serikal ikamtumia sms amechaguliwa kwenda uko Greanland(sehemu maalum ilyojengwa na serikal kujikinga na maafa makubwa) yy na familia yake tu (mke na mtt) kwa sbab kuna mlipuko wa volcano unakaribia kutokea nafasi hzo wanapewa watu special sana kama injinia,madoctor wakubwa, nyumban mkew alikuwa kashaalika majiran kadhaa kusherekea birthday ya mtt wao Lakin pia ujumbe ultumwa Kwny tv yao lakn hawakuuona wote kabla alivyofika john akamwita mkew pembeni akanambia uo ujumbe akashangaa ghafla Kwny tv ujumbe ukafkia tena mpka majiran waliusoma ikabid fasta wakimbie makwao wakawasha tv Lakin wap hamna kitu bas familia ya John ikajiandaa ikabeba chakula na dawa za mtt za kisukar majiran wakataka waende nao jamaa akawakatalia hapana nmechaguliwa mwnyw tu daah mkew akammbembeleza bac tuchukue ata binti m1 wa jiran injinia akamwambia hatutofika nae ppot kwn ujumbe umewataka watu wa3 tu bac majiran wakamchukia sana jamaa ikabid wasepe wakt wanakaribia kufika walipo elekezwa Kwny kambi ya jesh Ili wapate patch/sticker maalum yny qr code special mtt wao anadondosha dawa zake bila wote kufaham bac wanafika karib na pale kulikuwa na folen kubwa ya magari ikabid washuke wapige ngoko wakafika kambin wakasema wao ni special chosen Wakapita wakapew sticker kila m1 ya kwke wakaingia ndan kidg wakawa wanakagua vitu wakastaajab dawa za dogo hazipo weeee ikabid mwanaume ajitoe akazifate Kwny gar wakat anaenda huku nyuma ndege inakuwa tayar kwa safar mkew akaambiwa mama twende ndan uondoke akasema cwez kwenda nasubir baba Chanja/nyongo mkalia in/wangu wa ubavu wa moyoni/alieniepusha na tabu za wanaume wa kinondoni[emoji16] ameenda kuchukua dawa za mtt tumezisahau Kwny gar akaulizwa mtt anaeumwa nn akasema diabetes ikawa kosa akaambiwa mama hatusafirishi mgonjwa akaomba sana Afande M1 akampeleka kwa mkuu wake akamuelezee kwenda kule akakataliwa akaambiwa haturuhusu kama vipi twende ww mtt umuache apa weeeee! Nan kasema nimuache mtt akakaa nae anamsubir mmew, Mmewe akarudi na dawa akapita frsh askari m1 akamwambia mkeo nmeona kama kaenda Kwny ndege bas injinia akaenda nae kufika kule akatafta sana mama Chanja wake hajamuona ikabid atulie tu Kwny ndege raia wakafos nao wapande ndege hatakama hawajachaguliwa kwenda mzozo ukaanza aliambiwa na jamaa m1 hv aliemuona kashika dawa kuwa Mbn yy ndugu zake wanekataliwa kwenda wamebak Mbn yy kapanda ikabid ashuke kufata familia yake kule Napo mama alikata tamaa akamua kurud Kwny gar kumbe wamepshana apo utam ukaanza............ Mpka mwisho
Siwezi kusahau nililipa elf 20 kuangalia hii movie wakati kwenye house of movies ni buku tu[emoji38]Movie nyingine ya karibuni yenye maudhui kama hayo niliyoipenda ni Greenland. Movie hizi hunifikirisha kama Nchi yetu, au waafrika tupo tayari kwa kupambana na extinction level events(kama hii Covid19), au ni watu tunaotegemea rehema A Mungu na wengine.
View attachment 1848028
Huyu Mkuu hajawahi kukosea aisee.napendaga movie za gerard butler vibaya sana ntaitafta hio