The top five best couple in JF(MMU)

Daby

JF-Expert Member
Joined
Oct 26, 2014
Posts
33,894
Reaction score
76,810
Hello, MMU. Nadhani mpo Ok, zaidi poleni na shughuli za j3.
JF bhna[emoji23][emoji23], toka juzi watu wanashindana kutajana kwenye ziileee nyuzi. Ambao hawakutajwa walilalamika na kugomba vya kutosha. Ila Usife moyo watoto wazuri na wanaume bado wanazaliwa ipo siku (tutatajwa[emoji38][emoji38].)

(Kwa leo), wote tunajua kila sehemu ina best kapo. siyo shuleni..chuoni..kazini au hata mitaani..utaskia tu watu wanaiponti couple fulani na kuimiminia sifa. Hii ni kutokana na upendo,ukaribu na urafiki wenza waliojijengea. JF kuna couple nyingi saana mpaka zingine hazielewiki kama ni za kweli au mwisho wake humu tu. Hayo sisi hayatuhusu maana tunaishi maisha ya tunachokiona bhana.

Kwangu hizi ni top 5 best couple za hapa JF. Je za kwako ni zipi zitaje na taja sababu za kuwa best than others.

1. mshanajr na angel Nylon( jamaa sijui analoga)
2. sumbai na cute b(ilipotea kwa muda)
3. Bailly5 na Madame S (imeletwa na tetemeko la makonda)
4. STUNTER na jje's(hii bado changa ila ipo hot)
5. Daby na husna muba

NB: hii ni chitchat
 
Namuwinda sana huyu Patience123, bado nipo kwenye maandalizi ya namna ya kumrushia kombora zito.Sijawahi kukutana na rejection, mambo yakininyookea nitatengeza bond yenye nguvu na couple imara kuliko UKUTA wa CDM....See me in the list very soon!
Kudadeki kwa huo mkwara mtoto hachomoki...ungetoa kabisa na deadline ya kumng'oa.....
 
Weweee wera wera nimechukua no moko penda sana yeye....The all time couple! Since 2012 bado niko naye.....nitadumu nayee kwa nguvu za molaa...penda sana Angel Nylon...nothing...! I mean nothing will ever come across us...TILL THE END OF TIME[emoji7] [emoji8]
 
Nitajie dawa unayotumia mshana jr[emoji38][emoji38][emoji38]
 
[emoji2] [emoji2] [emoji2] siri ya mtungi. ..!
[emoji23][emoji23][emoji23]waliokwishapata bhn..mwenye shibe hamkumbuki mwenye njaaa [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
boni vipi hukubahatika hata kutajwa kuleee !![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
kule sipo aisee yaan hata wa bahat mbaya hakutokea... kwel nmeamin kuna simu halafu kuna mawasiliano...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…