Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Iyo namba 5 na jje ndo sijamjua mkuu hahaha huyu binamu yangu ningependa kumjua couple yake maana ana ngebe na wadada balaaHello, MMU. Nadhani mpo Ok, zaidi poleni na shughuli za j3.
JF bhna[emoji23][emoji23], toka juzi watu wanashindana kutajana kwenye ziileee nyuzi. Ambao hawakutajwa walilalamika na kugomba vya kutosha. Ila Usife moyo watoto wazuri na wanaume bado wanazaliwa ipo siku (tutatajwa[emoji38][emoji38].)
(Kwa leo), wote tunajua kila sehemu ina best kapo. siyo shuleni..chuoni..kazini au hata mitaani..utaskia tu watu wanaiponti couple fulani na kuimiminia sifa. Hii ni kutokana na upendo,ukaribu na urafiki wenza waliojijengea. JF kuna couple nyingi saana mpaka zingine hazielewiki kama ni za kweli au mwisho wake humu tu. Hayo sisi hayatuhusu maana tunaishi maisha ya tunachokiona bhana.
Kwangu hizi ni top 5 best couple za hapa JF. Je za kwako ni zipi zitaje na taja sababu za kuwa best than others.
1. mshanajr na angel Nylon( jamaa sijui analoga)
2. Nyani Ngabu na Kasinde
3. sumbai na cute b(ilipotea kwa muda)
4. Kaboom na atoto(Rogie anaiwangia)
5. STUNTER na jje's(hii bado changa ila ipo hot)
NB: hii ni chitchat
Ha haaakule sipo aisee yaan hata wa bahat mbaya hakutokea... kwel nmeamin kuna simu halafu kuna mawasiliano...
[quote uid=244382 name="jje's" post=17490913]malovee hayajifichi ujue, na ndo vizuri ili kama una mwingine nijijue tuko wangapi[/QUOTE]<br />Hahaha baby.... Jiamini, moyoni mwangu upo pekeako... Upendo unaonipa unanitosha, sihitaji mwingine ever....Iyo namba 5 na jje ndo sijamjua mkuu hahaha huyu binamu yangu ningependa kumjua couple yake maana ana ngebe na wadada balaa
<br />Hahaha baby.... Jiamini, moyoni mwangu upo pekeako... Upendo unaonipa unanitosha, sihitaji mwingine ever....[quote uid=244382 name="jje's" post=17490913]malovee hayajifichi ujue, na ndo vizuri ili kama una mwingine nijijue tuko wangapi
[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122][/QUOTE]<br />Hahaha baby.... Jiamini, moyoni mwangu upo pekeako... Upendo unaonipa unanitosha, sihitaji mwingine ever....
huyo hapo [emoji23][emoji23][emoji23]
Binamu yako alishaopoa kitambo [emoji125] [emoji125] [emoji125][/QUOTE][emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]
Acha tu valentina watu na watu waoHa haaa
Ule ukuta uliovunjika kabla haujajengwa...Namuwinda sana huyu Patience123, bado nipo kwenye maandalizi ya namna ya kumrushia kombora zito.Sijawahi kukutana na rejection, mambo yakininyookea nitatengeza bond yenye nguvu na couple imara kuliko UKUTA wa CDM....See me in the list very soon!
Nawe utapata tu mwayaAcha tu valentina watu na watu wao
Subiri mrejesho chanya Mkuu lazima nikutag.10 days [emoji23][emoji23][emoji23] wewe vocal soldier.
🙁🙁🙁🙁 Huhuhu kwahiyo umeshajihisi kuwa wewe ni product adimu? wakati unasubiri nije fahamu tunaishi duniani na siyo EdenUle ukuta uliovunjika kabla haujajengwa...
Teh teh... Labda kama unataka "kushika pembe ili Eli79 akamue bila bughudha...
By the way, karibu kwenye competition... Mwenye kisu kikali....
Ngoja tusubr tuone..... hiv wewe ushawahiwa enheeNawe utapata tu mwaya
Mie ni sistaNgoja tusubr tuone..... hiv wewe ushawahiwa enhee
TOKA 2012 nauliza tuuuWeweee wera wera nimechukua no moko penda sana yeye....The all time couple! Since 2012 bado niko naye.....nitadumu nayee kwa nguvu za molaa...View attachment 394087penda sana Angel Nylon...nothing...! I mean nothing will ever come across us...TILL THE END OF TIME[emoji7] [emoji8]
njoo kwangu basi mhhhhMie ni sista