The top five best couple in JF(MMU)

The top five best couple in JF(MMU)

you said well bby
I never thought I
can love
someone as much as I
love You..
You are My everything
and I can't think about
anything
without You..
I am totally addicted for
you... !!
 
I never thought I
can love
someone as much as I
love You..
You are My everything
and I can't think about
anything
without You..
I am totally addicted for
you... !!
huhuhuuuuuu that is y sometimes i don't sleep overnight jst imagining our wedding day what will be.

am blzd jaman and I can even say that again
 
huhuhuuuuuu that is y sometimes i don't sleep overnight jst imagining our wedding day what will be.

am blzd jaman and I can even say that again
Hahahah baby twende ndani ukanisaidie kuandika majina ya wageni waalikwa kwenye kadi za harusi yetu
 
Hahahah baby twende ndani ukanisaidie kuandika majina ya wageni waalikwa kwenye kadi za harusi yetu
Bae naomba kadi namba moja aandikiwe Daby, ya pili LadyAj, pulizeeee+ ohooooo
 
Bae naomba kadi namba moja aandikiwe Daby, ya pili LadyAj, pulizeeee+ ohooooo
Couple haipo hot tena imekua hotter [emoji4][emoji4]
 
Hello, MMU. Nadhani mpo Ok, zaidi poleni na shughuli za j3.
JF bhna[emoji23][emoji23], toka juzi watu wanashindana kutajana kwenye ziileee nyuzi. Ambao hawakutajwa walilalamika na kugomba vya kutosha. Ila Usife moyo watoto wazuri na wanaume bado wanazaliwa ipo siku (tutatajwa[emoji38][emoji38].)

(Kwa leo), wote tunajua kila sehemu ina best kapo. siyo shuleni..chuoni..kazini au hata mitaani..utaskia tu watu wanaiponti couple fulani na kuimiminia sifa. Hii ni kutokana na upendo,ukaribu na urafiki wenza waliojijengea. JF kuna couple nyingi saana mpaka zingine hazielewiki kama ni za kweli au mwisho wake humu tu. Hayo sisi hayatuhusu maana tunaishi maisha ya tunachokiona bhana.

Kwangu hizi ni top 5 best couple za hapa JF. Je za kwako ni zipi zitaje na taja sababu za kuwa best than others.
1. mshanajr na angel Nylon( jamaa sijui analoga)
2. Nyani Ngabu na Kasinde
3. sumbai na cute b(ilipotea kwa muda)
4. Kaboom na atoto(Rogie anaiwangia)
5. STUNTER na jje's(hii bado changa ila ipo hot)

NB: hii ni chitchat

Hili tangazo lilinipita hakyanani ............

Tulikuwa busy msiulize wapi na tulikuwa tunafanya nini..........

Monkey....... Nyaniiiii......

Asante mtoa mada kwa kutambua uwepo wa kapo hizo.

Kasie.
 
hahahahahah kwa
Couple haipo hot tena imekua hotter [emoji4][emoji4]
ajili ya kupata kadi tu ndo unasema hivyo ama? hata kwenye menu baada ya sisi utakuwa wewe, ndo washenga. Nitaongea na bby akubaliane na hili. STUNTER kuna pingamizi lolote hapo?
 
hahahahahah kwa

ajili ya kupata kadi tu ndo unasema hivyo ama? hata kwenye menu baada ya sisi utakuwa wewe, ndo washenga. Nitaongea na bby akubaliane na hili. STUNTER kuna pingamizi lolote hapo?
Yani mimi sijipendi mpaka nikae karibu na Daby ??
Kwani nani anayependa kuwekewa sumu kwenye kinywaji...!!
 
Well noted grandma!! Msalimie mwenzako
 
Yani mimi sijipendi mpaka nikae karibu na Daby ??
Kwani nani anayependa kuwekewa sumu kwenye kinywaji...!!
loooh jaman, kumbe mubaya hivyoo huyo Daby, tutapiga maombi kabla hajakaa na sisi shaka ondoa.
 
hahahahahah kwa

ajili ya kupata kadi tu ndo unasema hivyo ama? hata kwenye menu baada ya sisi utakuwa wewe, ndo washenga. Nitaongea na bby akubaliane na hili. STUNTER kuna pingamizi lolote hapo?
Nipigie pande basi na wewe! !!
 
Back
Top Bottom