The top five best couple in JF(MMU)

you said well bby
I never thought I
can love
someone as much as I
love You..
You are My everything
and I can't think about
anything
without You..
I am totally addicted for
you... !!
 
I never thought I
can love
someone as much as I
love You..
You are My everything
and I can't think about
anything
without You..
I am totally addicted for
you... !!
huhuhuuuuuu that is y sometimes i don't sleep overnight jst imagining our wedding day what will be.

am blzd jaman and I can even say that again
 
huhuhuuuuuu that is y sometimes i don't sleep overnight jst imagining our wedding day what will be.

am blzd jaman and I can even say that again
Hahahah baby twende ndani ukanisaidie kuandika majina ya wageni waalikwa kwenye kadi za harusi yetu
 
Hahahah baby twende ndani ukanisaidie kuandika majina ya wageni waalikwa kwenye kadi za harusi yetu
Bae naomba kadi namba moja aandikiwe Daby, ya pili LadyAj, pulizeeee+ ohooooo
 
Bae naomba kadi namba moja aandikiwe Daby, ya pili LadyAj, pulizeeee+ ohooooo
Couple haipo hot tena imekua hotter [emoji4][emoji4]
 

Hili tangazo lilinipita hakyanani ............

Tulikuwa busy msiulize wapi na tulikuwa tunafanya nini..........

Monkey....... Nyaniiiii......

Asante mtoa mada kwa kutambua uwepo wa kapo hizo.

Kasie.
 
hahahahahah kwa
Couple haipo hot tena imekua hotter [emoji4][emoji4]
ajili ya kupata kadi tu ndo unasema hivyo ama? hata kwenye menu baada ya sisi utakuwa wewe, ndo washenga. Nitaongea na bby akubaliane na hili. STUNTER kuna pingamizi lolote hapo?
 
hahahahahah kwa

ajili ya kupata kadi tu ndo unasema hivyo ama? hata kwenye menu baada ya sisi utakuwa wewe, ndo washenga. Nitaongea na bby akubaliane na hili. STUNTER kuna pingamizi lolote hapo?
Yani mimi sijipendi mpaka nikae karibu na Daby ??
Kwani nani anayependa kuwekewa sumu kwenye kinywaji...!!
 
Well noted grandma!! Msalimie mwenzako
 
Yani mimi sijipendi mpaka nikae karibu na Daby ??
Kwani nani anayependa kuwekewa sumu kwenye kinywaji...!!
loooh jaman, kumbe mubaya hivyoo huyo Daby, tutapiga maombi kabla hajakaa na sisi shaka ondoa.
 
hahahahahah kwa

ajili ya kupata kadi tu ndo unasema hivyo ama? hata kwenye menu baada ya sisi utakuwa wewe, ndo washenga. Nitaongea na bby akubaliane na hili. STUNTER kuna pingamizi lolote hapo?
Nipigie pande basi na wewe! !!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…