The top five best couple in JF(MMU)

The top five best couple in JF(MMU)

haaa my blood bro' acha kunifanyia hivyo jaman.

dadako naenjoy sana na mpenzi wangu ati.

hivi hutaki nipelekwe kwenye nyota nikuletee idadi ya nyota jaman?

please don't call him
Akili haitakii kabisaaa....ila mzee si alisema akitoka US anakupeleka dubai???
What's wrong
 
nothing can change me from you. i will never love elsewhere.
Kauli nyingine... mwanaume wa shoka inabidi tu upotelee kwa muda.... Ili ukirudi urudi na maamuzi magumu.

Napotea kama Dokta Slaa.
 
mshana jr atakuwa amemroga huyo demu maana siamin mtoto mzuri kama Angel amkubali mshana jr hivihivi
 
Sure honey! BTW now nafanya ile kazi nisiyoipenda,,
unaikumbuka?
nitaachaje kuikumbuka mpenzi wangu, mimi na wewe ni kama uji na mgonjwa.

naikumbuka sana ila si nilikuambia ujitahidi tu maana itakufanya usi...ze jamani??

unakumbukaaaa
 
Akili haitakii kabisaaa....ila mzee si alisema akitoka US anakupeleka dubai???
What's wrong
kwani nani kakwambia akija sitaenda na wewe /

akili zichanganye na wewe dogo, kwani ile safari yako umeahirisha? nakutafutia chapaa dogo acha utani na maisha.

kuwa mpole jaman. dubai lazima paendeke cause nataka nikufanyie shoping huko kabla hujarudi masomoni UK.

asprin ameenda kukufanyia mipango huko kwa hiyo usiseme mengi utaharibu.
 
nitaachaje kuikumbuka mpenzi wangu, mimi na wewe ni kama uji na mgonjwa.

naikumbuka sana ila si nilikuambia ujitahidi tu maana itakufanya usi...ze jamani??

unakumbukaaaa
Yeah nakumbuka bae,, then mambo yamewadia ndomana nafanya hii kazi, kesho ndo ile ishu
 
kwani nani kakwambia akija sitaenda na wewe /

akili zichanganye na wewe dogo, kwani ile safari yako umeahirisha? nakutafutia chapaa dogo acha utani na maisha.

kuwa mpole jaman. dubai lazima paendeke cause nataka nikufanyie shoping huko kabla hujarudi masomoni UK.

asprin ameenda kukufanyia mipango huko kwa hiyo usiseme mengi utaharibu.
Jesus..!!!!
 
Back
Top Bottom