Wifi mambo??...... na wewe upo Arusha?haaaah kwani wewe iko Arusha kama mimi? sitaki kumfanya my STUNTER alie asubuh asubuh bhana.
na hivyo kesho anasafiri nje ya nchi atahis nachukua advantage.
Akhu mie sitaki kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wifi mambo??...... na wewe upo Arusha?haaaah kwani wewe iko Arusha kama mimi? sitaki kumfanya my STUNTER alie asubuh asubuh bhana.
na hivyo kesho anasafiri nje ya nchi atahis nachukua advantage.
Akhu mie sitaki kabisa
Yes bbyWifi mambo??...... na wewe upo Arusha?
bambie bambieWewe waache wagale gale na mawivu. Sie mahabat mbele kwa mbele
Nitakutafuta krismasiYes bby
nisalimie kaka maana nowdays amekuwa busy sana cjui ni wewe unambana? ila sio kwamba ni wivu bali nauliza tu.Nitakutafuta krismasi
Teh teh.. kaka yako yupo anatafuta helaa. Anafanya kazi ngumu balaa. Akienda kazin anaacha simu akirudi ni kuoga kula na kutulizana. Nitamsalimiaaanisalimie kaka maana nowdays amekuwa busy sana cjui ni wewe unambana? ila sio kwamba ni wivu bali nauliza tu.
huhuhuuuuuu mie ninae my bae wanguNimetua arusha kukuwinda wewe tu
mhhhhh my wii unanidanganya jaman, yaani awe busy hadi aache simu home? pulize mshauri awe anaenda nayo ati, sheeeee (in masai tone)Teh teh.. kaka yako yupo anatafuta helaa. Anafanya kazi ngumu balaa. Akienda kazin anaacha simu akirudi ni kuoga kula na kutulizana. Nitamsalimiaaa
nini tena my sweet pie?Nawachora tu...
Kumbe hata hamfahamiani nyiehaaaah kwani wewe iko Arusha kama mimi? sitaki kumfanya my STUNTER alie asubuh asubuh bhana.
na hivyo kesho anasafiri nje ya nchi atahis nachukua advantage.
Akhu mie sitaki kabisa
Wifi mambo??...... na wewe upo Arusha?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Wewe waache wagale gale na mawivu. Sie mahabat mbele kwa mbele
Toto za arusha utazihua tubambie bambie
hahahahahah naona unatuchabo, vibaya hivyo ujueKumbe hata hamfahamiani nyie
Totoz za arachuga
Nimewaalika via via jioni
Lakini msije na kundi la mashoga zenu ni nyie wawili tu
Vinginevyo mjiandae kulipa.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
nini tena jaman?Toto za arusha utazihua tu
Kumbe ni mkaidi hafaidi hadi sikuNitakutafuta krismasi