Akuuuu!! Orodha hainihusu kabisa.Hivi hawakutaji kwenye orodha tu..!
Huyu wa chini naye akipeperuka tutakula sahani moja
We utakuwa mkewe wa 15, je uko tayari?[emoji2][emoji2][emoji2]unataka nikuchague Mara ngapi?!
Na ile zawadi nikiinyaka naitia moto. CHARMILTON sio mtu mzuri kabisa, hii kampeni sijui inamfaidisha nini!!Hizo ni hujuma. Unataka kuniua kimapenzi eeeh! !
Tatizo mnaomba poo katikati ya mchezo inabidi..tucheze nusu saa ya kwanza kabla hatujaja kwenuNa ile zawadi nikiinyaka naitia moto. CHARMILTON sio mtu mzuri kabisa, hii kampeni sijui inamfaidisha nini!!
Niingie mara ngapi, tangu niingie ni 10years ago.
Sasa ataweza kweli kucompete na nzi,uzi na ile zawadi?
Kwani ni kukomoana jamani!!Tatizo mnaomba poo katikati ya mchezo inabidi..tucheze nusu saa ya kwanza kabla hatujaja kwenu
Debe lenyewe limegoma kulia.Teh teh teh,
Naona leo unanipigia debe.
Kwani una vilele vingapi?Ni Kufikishana tulikotoana. Wote vileleniiii
Wacha nivunge,.....pengine halina faida kwangu.Mpaka umtaje muchuchu yako
Kama ulikompea size na yule mdoli, lazima utokwe povu.Na ile zawadi nikiinyaka naitia moto. CHARMILTON sio mtu mzuri kabisa, hii kampeni sijui inamfaidisha nini!!
Debe lenyewe limegoma kulia.
Una gundu.
Duuuh!! Siamini unanigeuzia kibao my kaka!!Hahahahaaa,
Wewe mwenyewe ulishaniharibia tangu mwanzo bwana.
Duuuh!! Siamini unanigeuzia kibao my kaka!!
Kwahiyo nawe ukatishika?Haha!
Umesahau ulivyokuwa unanitishia jamani?