Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bony yani hata usisumbuke The Bold ananielewa vyema mzee wa OPERATION CIA hana nenoUnamfahamu huyu mtu The bold
Usafiri niutakao nilishakuambia mapemaaa, usijifanye mjuvi wa lugha, hebu fanya fasta kabla haujafuja urithi huo.Ha ha ha ha mkwe aisee uko vizur hutak kuchelwa nsje nikaghair.
Nashukuru umesema usafir maana ingekua motokaa ingekua shidaa
Bony yani hata usisumbuke The Bold ananielewa vyema mzee wa OPERATION CIA hana neno
Usafiri niutakao nilishakuambia mapemaaa, usijifanye mjuvi wa lugha, hebu fanya fasta kabla haujafuja urithi huo.
Usije ukawa mtoa ahadi tu bila utekelezaji, maana dota wangu Heaven Sent kwa kuokoteza tu hajambo.Hakuna shida mama kausafir kako njian usje ukabadil mawazo bure hapa
Usije ukawa mtoa ahadi tu bila utekelezaji, maana dota wangu Heaven Sent kwa kuokoteza tu hajambo.
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Chaaaah!! Kaone!!Hiyo sunna.
We acha kutafuta visingizio, hebu tekeleza ahadi.Ha ha ha ha kwahyo unataka kusema yoyote sawa duh mkwe naona jiwe gizan hilo
We acha kutafuta visingizio, hebu tekeleza ahadi.
Basi usije.Ha ha ha ha mbna kama nalazimishwa hvi kupeleka zawad jaman mkwe napata hofu
Mungu anakuona ujueMichepuko ndio ilitutenganisha, mzee anachepuka yule hadi shetani anaogopa.
I miss uHeaven Sent hivi hii crisis huwa inachukua muda gani?
Anatuona sote!!
Sema hakiyamungu!!
I love uSema hakiyamungu!!