Da'Vinci
JF-Expert Member
- Dec 1, 2016
- 35,812
- 107,628
Ndio bado upo on fire unakaribishwaKwani ule uzi bado unaendelea mkuu!?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio bado upo on fire unakaribishwaKwani ule uzi bado unaendelea mkuu!?
Teh teh[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] yaani nacheka kama mazuri but nipo kwny fire
Ntaingia kule brotherNdio bado upo on fire unakaribishwa
Sio wa sport sport jo eti anasema anamtaka daby kwenye huu uziNtaingia kule brother
Kets keep t real man.
Mi nikajua kule mlisha andika mpaka conclusion
HahahaSinaga maneno meng mtoto nshamuweka kwenye gamba hapa kama mpira nataka nipge shuuuut!!!
We piga tu kelele na mshenga wako iceman
Muulze mke wangi candyHahaha
Ujue fed wewe ni sawa na jamaa aliye tokea katikat ya harus kutia pingamizi.
So watu hawajui umetokea wap.
Ndio ushalala ettUcku mwema mme wangu mtarajiwa [emoji8] [emoji182] [emoji292] [emoji173]!!!
[emoji1]Sio wa sport sport jo eti anasema anamtaka daby kwenye huu uzi
Kesho tunawahi kwenda kwa gwajima kusikiliza yanayo endelea hapa mjini aseeNdio ushalala ett
HahaMkuu mimi yangu macho tu hapo. Kodoo
Yaaan mm pale ndio kigoma pangu sioni mwingine. Kweli manzi mtata japo niki m_pm anajibu vzr tu ila kwenye jibu anazingua[emoji1]
Halafu mwanangu unaandaga mapambano magumu kweli
Kwa nini usipigane hata lightweight au bantum weight
Kila siku uko heavy weight una jichosha.
Ngoja kule itakia nije ki mkakati sasa. Maana si mchezo kule
Wapiga chabo hawakosi uswazHaha
Ahsante kumbe obsevers wako wengi tu
Wewe usjali kesho nakuja ku ifufuaYaaan mm pale ndio kigoma pangu sioni mwingine. Kweli manzi mtata japo niki m_pm anajibu vzr tu ila kwenye jibu anazingua
Yap yap sisi chai yeye mkate hashindikani atalika tu. Kesho utanikuta nakusubir tupange mashambulizi upya. Nadhan atasomeka tuWewe usjali kesho nakuja ku ifufua
Alafu alot of people walikuwa wanakuoa saport mkuu.
May be round inayo fuata ushindi uta beba. Siyo kila mechi inaisha kwa KO nyingine inabid tuende mpaka round ya 12 halafu ubebe ushindi wa point
Ushindi ni ushindi tu though
Rekebisha kwenye redWewe usjali kesho nakuja ku ifufua
Alafu alot of people walikuwa wanakuoa saport mkuu.
May be round inayo fuata ushindi uta beba. Siyo kila mechi inaisha kwa KO nyingine inabid tuende mpaka round ya 12 halafu ubebe ushindi wa point
Ushindi ni ushindi tu though
HahahaRekebisha kwenye red
Lala mkuu usije kuandika listi ya wasio julikana. Pangilia nondo na mapanga kesho uje uchafue kule kwa jo utakua umefanya jamba la urea sanaHahaha
Usingizi umenizidia hapo, tayar lakin