Daby
JF-Expert Member
- Oct 26, 2014
- 33,894
- 76,810
- Thread starter
- #1,221
HahahaHa ha ha ha unafikri sikumbuku mbinu ya husna muba ile kuweka waz leo hii ungesimama hapo ulipigwa pina moja matata sana
Haya mambo hayana ugumu mzee mwenzangu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahaHa ha ha ha unafikri sikumbuku mbinu ya husna muba ile kuweka waz leo hii ungesimama hapo ulipigwa pina moja matata sana
Ha ha ha ha bado sana kujiachia kwenye mnazi acha nibak na hii hii ya dada zangu wa humu tupige sogaHahaha
Haya mambo hayana ugumu mzee mwenzangu
Ha ha ha na kwel nakuona taratabu unavyokunywa maji ya dafu kwa bibie sio mbaya all the best hope itapitlza had nje ya server za JFHaya mzee ngoja sisi tuendelee kujilia taratibu
Ha ha ha mie tena nakutakia kheri tu si et shemej husna muba kwel utakataa love in air zisipite nje ya serverMaombi yako yanatakiwa juu ya hiyo sentensi ya mwisho mzee
Haha...zipo air za airtel sasa hivi huko zilishapitaHa ha ha mie tena nakutakia kheri tu si et shemej husna muba kwel utakataa love in air zisipite nje ya server
Ha ha ha itabd nikuone aisee kumvusha mtu nje ya server sio shuhuli ndogoHaha...zipo air za airtel sasa hivi huko zilishapita
Ha ha ha ha nahis kuna nyengne naziruka aise maana naona wa sita huyu unamvusha nje ya server[emoji23][emoji23]
Unaaply rule zote lakini?
Ha ha ha ha ha ntamtafuta aisee anipe sio kawaida hiiMwambie swahiba akupe mbinu
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji87] [emoji87]Ha ha ha ha nahis kuna nyengne naziruka aise maana naona wa sita huyu unamvusha nje ya server
Mbona unashtuka tena shemeji[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji87] [emoji87]
Nimeuliza tu Best sijasema uongezeeNiongezeee ipi smart na MaHo hahaha
Kaushaa. mwenye macho haambiwi tazamaTehteh...Nilitaka niwatangaze eti