The True color of Ali Kiba

Chinga One

JF-Expert Member
Joined
May 7, 2013
Posts
11,469
Reaction score
12,391
Tulizoea haya mambo kutoka kwa Diamond kurushiana vijembe na mahasimu wake na kumuona mswahili...kumbe ndo vile tena waswahili ni wengi
 
Mond hakua mjinga kukwepa kumgonga yule Nung'ayembe,halaf hanaga time ya kujibizana nae.
Simba managers wake wana akili sana.
Hajawahi kumjibu Alikiba kwa chochote ana hustle kivyake akitaka Kiki anazipata automatically kwa wanawake zake that's how big and grown up musicians do.
.
Refer beef la Drake na Chris Breezy Breezy alikuwa ana bwata sana kisa anafahamu anauwezo mkubwa kimuziki kumzidi Drake, anaweza mkono kumzidi Drake lakini cha ajabu Drake alitulia automatically kiki ikamfata kwa lile dem lake licheza porn films and now billboard hot 100 anaitawala yeye tu Brown anaendelea kula weed
 
hapa mwenye makosa ni Kiba, anawezaje kuwa na mafungamono yoyote yale na mwanamke wa type hiyo!
amelikoroga mwenyewe acha ainywe
 
Ninyi mmeanza kumuona mswahili leo, mie tangu alivyopost yale maswala ya penseli sijui nini nilishaona kumbe naye wale wale tu.

Isitoshe Kiba na Diamond wote wahuni sana tu, sema ni vile Kiba kaamua kuyafanya yake sirini ndiyo maana anaonekana mstaarabu.
 
Sisi watu wakimya matatizo yetu na udhaifu wetu tunajijua mkuu,mimi nilikua nawashangaa wale waliokua wakimtetea Sana sijui mara hapendi Kiki,anajiheshimu,mstaarabu,hana majivuno 😂😂😂,ni hivyo tu watu wakimya huwa tunafanya Mambo kwa Siri lakini kiuhalisia tuna list ndefu sana za mademu wabaya na wazuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…