Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,223
- 96,083
dawa ni kuwaandikia urisi tu, imeandikwa kwamba "kitanda hakizai haramu forever", (huu msemo aloutunga ana akili kweli, samtaimu inabidi tujipe ma hope bana)
Kuwaandikia watoto au mama Zao? (Hapo kwenye wingi ni msisitizo kila mtoto na mama yake, na unaweza kuta wote si wangu, LOL)