The truth of the matter is we have lost tourists to Tanzania,people are losing jobs in Kenya

The truth of the matter is we have lost tourists to Tanzania,people are losing jobs in Kenya

Hawa watu ni wajinga sana,
Ni vizuri wanatumia kiswahili so watu wa countries zingine hawaoni,in
Mbona sio sisi tuliosema kwamba Kenya haina uwezo wa kupambana na Tanzania, ni CS Balala baada ya kupambana na Tanzania katika utalii kwa miaka mingi, leo amekiri kutoendelea kupambana na Tanzania, amesema Tanzania sio nchi ya mchezo mchezo[emoji38] [emoji38] [emoji38]
 
6edb976c0b197682a3aaadba279b95e6.jpg
6e46e1c625243db14a2059ba571ef597.jpg
f0286686930ea2b86b13c233fc1b78f9.jpg
c295de2438cd17048ca516220ddb4e7e.jpg
f7f9e44ce202f1a54a1d71499667ba90.jpg
f87d083e3df5702a72aff79431034446.jpg
f57f46cbc48d1a4bebc28e2b6f6e9ee3.jpg

As you can see Kenya's tourism is on the up
Tupatiange na trend ya domestic violance (towards men).
 
6edb976c0b197682a3aaadba279b95e6.jpg
6e46e1c625243db14a2059ba571ef597.jpg
f0286686930ea2b86b13c233fc1b78f9.jpg
c295de2438cd17048ca516220ddb4e7e.jpg
f7f9e44ce202f1a54a1d71499667ba90.jpg
f87d083e3df5702a72aff79431034446.jpg
f57f46cbc48d1a4bebc28e2b6f6e9ee3.jpg

As you can see Kenya's tourism is on the up
pole sana ndg... endelea kutuonyesha screenshot kutoka katika data za kupika.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Haha sijawahi kuona watu wanaopnda kusherehekea ujinga kama hawa maBongolala wa LDC...mtu atafikiri tz ndio inaongoza bara kwa utalii kumbe ni watalii million 2 tu..sasa Morocco na Misri watafanya nini sababu wanapokea watalii zaidi ya millioni 9?
Wamorocco na wamisri ndo watakatika ngololo! 😀
 
Naona hiyo 32.8% ya usambazaji wa umeme Tz haijakufikia bado! 😀😀😀
CS wa utalii ameshakiri mziki wa Tanzania ni mzito, Kenya haina ubavu, mtafute CS wa Energy anaitwa Keter na yeye atakuambia jinsi mziki wa umeme ulivyo mzito zaidi kushinda hata utalii. Kifupi andaeni baby seaters haraka, lazima tuwazalishe tu[emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85]
 
Hongereni wa Tz........... Ila kwa hili kuna mambo mawili ningependa kuchangia.

1. Ingekuwa vema pamoja na kutambua watalii wengi wanakimbilia Tz, mngepata fursa
hiyo ku-capitalize on that. Sio tu kushabikia na kukunja nne na kipiga toat. Ingekuwa
ni sisi Kenyans, tungechangamkia hiyo fursa. We are resilient even in our moment
of weakness.

2. Tz ina vivutio viiiiiingi sana sana saaaaaaana. Sasa hivi, mngefaa kushindana na
South Africa, ila kwa sababu nyinyi ni Bongolala, mnaangalia kaskazini badala ya kusini.
Kenya ina vivutio, ila vichache ikilinganishwa na ninyi. Lakini pamoja na uchache wetu,
jaribu tu kuwaza iwapo tungekuwa sawa, tungekuwa na uzi huu??????????

My peni mbili..................
 
Hongereni wa Tz........... Ila kwa hili kuna mambo mawili ningependa kuchangia.

1. Ingekuwa vema pamoja na kutambua watalii wengi wanakimbilia Tz, mngepata fursa
hiyo ku-capitalize on that. Sio tu kushabikia na kukunja nne na kipiga toat. Ingekuwa
ni sisi Kenyans, tungechangamkia hiyo fursa. We are resilient even in our moment
of weakness.

2. Tz ina vivutio viiiiiingi sana sana saaaaaaana. Sasa hivi, mngefaa kushindana na
South Africa, ila kwa sababu nyinyi ni Bongolala, mnaangalia kaskazini badala ya kusini.
Kenya ina vivutio, ila vichache ikilinganishwa na ninyi. Lakini pamoja na uchache wetu,
jaribu tu kuwaza iwapo tungekuwa sawa, tungekuwa na uzi huu??????????

My peni mbili..................
Haya ni maneno ya kukata tamaa na kushindwa, tatizo ninyi wakenya akili zenu sio nzuri hata kidogo, mkishindwa ni bora mkakubali na kurudi katika drawing table na kujiuliza kwanini mnashindwa, badala ya kutoa visingizio na sababu za kuhalalishwa kushindwa kwenu.

Ninyi wakenya wala hamna uwezo wowote ule wa kupambana na sisi, maeneo ambayo Kenya imeizidi Tanzania ni yale ambayo yameshikiliwa na wazungu, kama maua, viwanda, na chai. Ila yale yaliyopo chini ya GoK au wakenya wazawa, karibu yote tumewazidi.

Mbona Uganda inawazidi katika utalii wakati hawana vivutio vyovyote vile vya utalii ukilinganisha na Kenya, nini ni watu wa sifa za kijinga lakini hamuwezi lolote lile.
 
Wewe hadi kufikia uwezo wakuwapita sisi tumelala? Au wafikiri tourist are coming to TZ kwa bahati mbaya tu.??Kuna kazi kubwa zinafanyika mkuu na hapo bado kwa target ya Magufuli.
Hongereni wa Tz........... Ila kwa hili kuna mambo mawili ningependa kuchangia.

1. Ingekuwa vema pamoja na kutambua watalii wengi wanakimbilia Tz, mngepata fursa
hiyo ku-capitalize on that. Sio tu kushabikia na kukunja nne na kipiga toat. Ingekuwa
ni sisi Kenyans, tungechangamkia hiyo fursa. We are resilient even in our moment
of weakness.

2. Tz ina vivutio viiiiiingi sana sana saaaaaaana. Sasa hivi, mngefaa kushindana na
South Africa, ila kwa sababu nyinyi ni Bongolala, mnaangalia kaskazini badala ya kusini.
Kenya ina vivutio, ila vichache ikilinganishwa na ninyi. Lakini pamoja na uchache wetu,
jaribu tu kuwaza iwapo tungekuwa sawa, tungekuwa na uzi huu??????????

My peni mbili..................
 
Hongera tz tuongeze bidii ili nchi yetu izidi kupanda kiuchumi
 
The arguments I see on this forum are some of the weirdest. Am surprised there are some Kenyans who take so much time in them. That said, Citizen TV is like staple in TZ. Keep following guys, keep following...
 
Tourism and Wildlife Cabinet Secretary Najib Balala has raised concerns over the state of hotels in the country saying that lack of enough world class hotels in Kenya has made Tanzania a better proposition for tourists in East Africa.

Speaking during Citizen TV’s Citizen Extra show on Tuesday, Mr. Balala noted that while the number of foreign tourists increased from 1,342,899 in 2016 to 1,474,671 in 2017, the country has a potential of attracting many more tourists if hotel infrastructure and customer service is improved.

“The biggest challenge that we have as an industry is security. Our porous border with Somalia is also a concern for our visitors. However the situation is normalizing, that’s the reason why Tanzania did better than us is because their hotels are brand new and modern while our hotels are 40 years old,” he said.

“People are not just coming because they want a hotel bed around them. They want activities around their vacation. They want to feel the experience. They don’t want to come to the airport and be harassed by an immigration officer or a taxi driver or go to a hotel with substandard service,” added the CS.

While saying that the country targets to attract to attract 2.5 million tourists per year by 2022, the CS said that the government has engaged the hoteliers and agreed on the standards needed to attain the government’s goals.


Mr. Balala further said tourists should anticipate for better services at the Jomo Kenyatta International Airport (JKIA) after an impromptu inspection by himself and his Interior and Transport and Infrastructure counterparts Fred Matiangí and James Macharia on January 10.

“We have signed a three-ministry MOU. We started actualising it 10 days ago. There is training of airport staff. Improvement of signage and better handling of tourists by customs and immigration officials,” said Balala.

He said that the MOU clearly states the role of each ministry in service delivery at the airport highlighting that Kenya Airports Authority Managing Directory Jonny Andersen will be tasked with ensuring that handling of tourists at the facility is top notch.
 
Back
Top Bottom